Nihitimishe tafakari ya Yohane 1:1-14 kwa kusema hivi
Sisi hatujamuona Yesu sawa na mitume wale waliokuwa naye alipokuwa ulimwenguni kwa jinsi ya mwili, sisi tumezisikia tu habari zake. Kama ilivyoandikwa
Yohana 1:14a
Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu
Basi wale waliomuona ushuhuda wao...
Mtakaporudi mtaukuta ujumbe huu
Tuendelee na tafakari ya Yohane 1:1-14
Nilisema yupo mmoja mwenye majina matatu jina lake la kwanza ni Neno, jina lake la pili ni Mwanzo na jina lake la tatu ni Mungu.
Kumbe analo jina la nne nalo ni Nuru.
Tafakari na mstari huu pia
Yohane 8:12
Mimi ndimi...
Hapana usiyaogope maarifa, usiiogope elimu kwa kuwa Bwana anasema katika
Yohane 8:32
Nanyi mtaujua ukweli, na huo ukweli utawaweka huru.
Tena neno la Mungu linasema
Mithali 4:13
Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako.
Tafadhali Covax usiogope kujifunza...
Nimekuelewa Covax tafadhali usikasirike sana. Wasamehe wafuasi wa Bwana saa nyingine wanakuwa na masihara sana, utani mwingi, uhuni kidogo, na hasira ila ukiwajaribu vizuri utagundua hawana baya bali roho zao zimejaa mapendo kama ilivyoandikwa katika.
Warumi 5:5b
kwa maana pendo la Mungu...
Tuendelee Covax upo bize sana na kazi naelewa
Tafsiri ya Yohana 1:1-14
1. Neno aliumba vyote
2. Hakuna kilichofanyika bila ya Neno
Kama neno aliumba vyote basi neno ni Mungu kwa kuwa Mungu ndiye muumbaji.
Tafadhali tafakari pia
Mwanzo sura ya 1
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. 2...
Usimuite mchokozi kwa nini kuwa mkali namna hiyo.
Mathayo 5:22
Lakini mimi nawaambia, Kila amwambiaye ndugu yake, 'Raka,' atakuwa na hatia mbele ya baraza; na kila amwambiaye, 'Mpumbavu,' atakuwa na hatia ya jehanamu ya moto.
Siyo rahisi kulielewa fumbo hilo achilia mbali kulipokea na kuliamini
Tuanze kwa tafakari ya neno la Mungu
Yohane 1:1-14
Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule...
Naelewa ya kuwa hii ni siku ya kazi na pengine utakuwa kazini kama mimi amabvyo niko kazini. Na usiweze kunijibu mara moja basi nitajibu kisha nitakungoja utakaponijibu tutaendelea na majadiliano yetu
Tafadhali Covax nitakuwa nakujibu sasa maswali yako, basi usinipuuze bali unisikilize kwa makini na unihoji pale ambapo utahisi nimeongea kitu chochote kisichioleweka uwe jasiri kama simba usiogope kunipa changamoto kwa maana neno la Mungu linasema
Luka 12:2
Hakuna jambo lolote lililositirika...
Majadiliano ya kidini yakifanyika kwa heshima yanaweza yakaleta neema kama vile maelewano kati ya watu wa dini mbalimbali. Sisi wakristo tunamfuata Mungu wa Abrahamu, Mungu wa pekee aliyeziumba mbingu na nchi. Hatupaswi hata siku moja kumkimbia kwa uoga mtu muungwana na mcha Mungu kama Covax...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.