Recent content by mroki

  1. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dereva wa John Heche akutwa amefariki chumbani Kigoma

    Siyo hawana jema ni wapinzani. Nchi yenye kufuata mfumo wa vyama vingi lazima kutakuwa na wapinzani lazima kutakuwa na ushindani kisiasa. Mabishano yote ya kisiasa yanaamuliwa na sanduku la kura. Siyo na utekaji.
  2. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Dereva wa John Heche akutwa amefariki chumbani Kigoma

    Kila rais lazima atakutana na upinzani, ishu ni unariact vipi. Mm nadhani rais Kikwete ndio aliweka mfano mzuri kwa hapa bongo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Marekani huingiza 97bn kwa mwaka kupitia porn industry

    Oya vipi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Safari yangu katika kujifunza website development

    Pamoja sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Haupaswi kumkatia mtu tamaa kwasababu Mungu ni mwema. Wapo waislamu wengi tu wameokoka
  6. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Nihitimishe tafakari ya Yohane 1:1-14 kwa kusema hivi Sisi hatujamuona Yesu sawa na mitume wale waliokuwa naye alipokuwa ulimwenguni kwa jinsi ya mwili, sisi tumezisikia tu habari zake. Kama ilivyoandikwa Yohana 1:14a Naye Neno alifanyika mwili, akakaa kwetu Basi wale waliomuona ushuhuda wao...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Mtakaporudi mtaukuta ujumbe huu Tuendelee na tafakari ya Yohane 1:1-14 Nilisema yupo mmoja mwenye majina matatu jina lake la kwanza ni Neno, jina lake la pili ni Mwanzo na jina lake la tatu ni Mungu. Kumbe analo jina la nne nalo ni Nuru. Tafakari na mstari huu pia Yohane 8:12 Mimi ndimi...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Kumekuwa kimya sana humu ndani Covax bado hupo. Jamani washkaji mko wapi
  9. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Hapana usiyaogope maarifa, usiiogope elimu kwa kuwa Bwana anasema katika Yohane 8:32 Nanyi mtaujua ukweli, na huo ukweli utawaweka huru. Tena neno la Mungu linasema Mithali 4:13 Mkamate sana elimu, usimwache aende zake; Mshike, maana yeye ni uzima wako. Tafadhali Covax usiogope kujifunza...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Nimekuelewa Covax tafadhali usikasirike sana. Wasamehe wafuasi wa Bwana saa nyingine wanakuwa na masihara sana, utani mwingi, uhuni kidogo, na hasira ila ukiwajaribu vizuri utagundua hawana baya bali roho zao zimejaa mapendo kama ilivyoandikwa katika. Warumi 5:5b kwa maana pendo la Mungu...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Dah naongea mwenyewe ngoja niondoke nisije nikaonekana chizi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Tuendelee Covax upo bize sana na kazi naelewa Tafsiri ya Yohana 1:1-14 1. Neno aliumba vyote 2. Hakuna kilichofanyika bila ya Neno Kama neno aliumba vyote basi neno ni Mungu kwa kuwa Mungu ndiye muumbaji. Tafadhali tafakari pia Mwanzo sura ya 1 Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. 2...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Usimuite mchokozi kwa nini kuwa mkali namna hiyo. Mathayo 5:22 Lakini mimi nawaambia, Kila amwambiaye ndugu yake, 'Raka,' atakuwa na hatia mbele ya baraza; na kila amwambiaye, 'Mpumbavu,' atakuwa na hatia ya jehanamu ya moto. Siyo rahisi kulielewa fumbo hilo achilia mbali kulipokea na kuliamini
  14. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Tuanze kwa tafakari ya neno la Mungu Yohane 1:1-14 Hapo mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Yesu alisema kuhusu yeye mwenyewe "from the horse's mouth" sasa we ni nani?

    Naelewa ya kuwa hii ni siku ya kazi na pengine utakuwa kazini kama mimi amabvyo niko kazini. Na usiweze kunijibu mara moja basi nitajibu kisha nitakungoja utakaponijibu tutaendelea na majadiliano yetu
Back
Top Bottom