Mwanamke kapewa darja la juu kuliko mwanamume. Kwanza kabisa ktk quran kuna sura ya wanawake (surat an nisa yenye aya 177) hakuna surat al rijal hilo ni darja kubwa kabisa kwa mwanamke kwa anayejua uzito wa kitabu hiki kitakatifu,, Kaisome sura hiyo hususan ktk aya 128,, 125,,35,, 20,, 6 na 5...