Habari zenu,Mimi Ni dereva wa uber/taxify mwaka sasa Trips 976+ combined, Ni mwezi sasa nimekuwa nikitafuta gari ya mkataba kwa ajili ya uber!
Changamoto nilizo kumbana nazo zina nikatisha tamaa sana! Nia ya bandiko hili nikupunguzaa stress akili na moyoni.
1. Kupewa gari na mtu asiekufaham...
Asseee umemuacha bila kupima mafuta?
Kwa huku dar huwa tunapima oil mpka dem anashtukia mwenyewe alipo ingia ni chaka kisha anakukimbiaaa! Ww unakuwa huru ili hata ikikwama unarudi kwa huruma baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.