harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,918
Sasa hyo ni kumiliki wanawake wawili au kugegeda wanawake wawili?
Sijui ugumu unaona wapi hapo.
Sijui ugumu unaona wapi hapo.
[emoji848]wanawake naneSikuzile nilipokua kijana kama wewe, niliwaza kumiliki wanawake 8 kwa maramoja na wote hawakuahi kujuana.
Vijana wa .com mmekua laini sana, hata kila kitu mnataka mtafuniwe....[emoji53] [emoji45] [emoji45]
Ndio mkuu.....[emoji85] [emoji85][emoji848]wanawake nane
Umetisha mkuu[emoji119]Ndio mkuu.....[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Nisha achana na uyu mpyaAcha ufala mkatae huyo alioomba msamaha maana ataondoka tena! Amini kwamba mdogo wangu,,,,
Sawa dogo, kazi nzuri ila utakuja kulia tena mbeleni!Nisha achana na uyu mpya
But kilicho tufanya tugombane sio kikubwa ila ngoja nioneSawa dogo, kazi nzuri ila utakuja kulia tena mbeleni!
Itakuwa kupigiana simu tu basi, haha mapenz ya teenage raha sana!But kilicho tufanya tugombane sio kikubwa ila ngoja nione
hahahahahaaaaa20 iringa
uko serious lakini.Nataka nimuache uyu niliye mtongoza saiz but aninipenda sana naogopa kumumiza moyo wake
Asseee umemuacha bila kupima mafuta?Nisha achana na uyu mpya
Mara nyingi mwanaume anaye ng'ang'ania kuwa na mwanamke mmoja nguvu zake za kiume huwa zinamatatizo.....Iii inaniumiza akili nilikua na demu tukagombn baada ya kugombana nikachukua maamuzi ya kutafuta mwingine
Kinacho niumiza kichwa yule tuliye gombana aliniomb msamaha nikamsamehe but kinacho nisumbua now naogopa siku wakijua na cheat
Na uyo demu mpya naogopa kumwambia simtaki tena mahusiano yetu yana siku mbili tuu
Nipeni ushauri nifanyeje nitembee nao wote kisili au but naogopa kuwa teach ushauri kwa wale wamiliki wa demu
NISHA CHUKUA MAAMUZI
Nimeona siwez kuwa nao wote nimeamua kubaki na mmoja tuu ndio maamuzi niliyo yachukua na niliye mkataa kanilewa
mbona umecheka sana palsa?hahahahahaaaaa