Habari zenu wakuu, nahitaji mwenye kujua connection za kazi za kutumia nguvu ukuli kwa Dar au Pwani.
Ikiwa sokoni nijuze ni soko gani wanashusha sana mizigo ya mazao angalau kwa siku liwe na uwezo wa kuingiza lori 4,5 au kama viwandani nijuze ni kiwanda kipi wanakubali makuli wa nje pasipo...
Naombeni connection ya wapi wanakobeba sana na kushusha mizigo ya mazao nikawe kuli ili nipate mtaji wa biashara, yani kama ni sokoni ni soko linaloingiza lori kwa siku angalau 4, 5 au viwandani ambacho wanaruhusu makuli wa kujitegemea naombeni connection kwa anaejua hasa mkoa wa Pwani Kibaha au...
Habari wakuu,nyumba ya vyumba vitatu choo jiko na sebule inauzwa Janga Mlandizi Kibaha Pwani,ipo kwenye mandhari mazuri umbali wa kilomita moja kutoka Mlandizi center mwendo wa dakika tano kwa usafili na dakika ishirini na tano kwa miguu.
Nyumba bado haijaisha vizul ila wenyewe wanaishi humo...
Habari zenu wakuu wa humu JF,
Mimi ni kijana mchapakazi, napatikana Kibaha mkoa wa Pwani.
Nilishawahi kupost humu tangazo la kutafuta ajira/kazi.
Sasa leo nimerud tena kuwaomba ndugu zangu kwa anaejua vinakopatikana vijitenda/vibarua vidgo vidgo aniambie au ukiwa unavyo vijitenda niite...
Inawezekana kwa wasiojijua lakin mimi najijua kabisa nilivyo sina makuu napenda kujishusha kwan sipendag Shari ila kila mtu na mtazamo wake sio lazima mniamin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.