Ni ukweli usiopingika kuwa Wafalme wote,Malkia wote, Marais wote, wawe wa kidemokrasia ,kididekta,au liberals wapende wasipende ni lazima wawe Watawala,wafanye shughuli zao kama watawala yaani wawe ni watu wa kutoa maelekezo,Maagizo,amri ,Makatazo huku wakiwa na washauri mbalimbali wenye...