Poleni sana ndugu zangu kwa matatizo ya mdudu mende na ndugu zake. Kuna dawa inaitwa FIPROFARM. Nawahakikishia, ukipiga hiyo ndani na nje ya nyumba yako. Hakuna mende atayethubutu kuja kuongea nawe tena hapo nyumbani. Dawa hiyo ikauzwa kwenye Maduka ya dawa za mifugo na kilimo.
Sent using...
Pole sana mdogo wangu Enol. Naomba ufanye haya, ambayo binafsi nilifanya baada ya kupatwa na tatizo linataka kufanana na lako. Chukua Nazi 2 kwa kuanzia. Vunja na kuna Nazi zote kisha tengeneza tui. Liache tui mpaka cream ijitenge na maji. Kisha chukua hiyo cream jipake sehemu yote ya siri na...
[Digitaldrimzafrica – Connecting Africa and Making a Difference] is good,have a look at it! Home
Mkuu THE BOLD, asante sana kwa wavuti hii. Ni nzuri sana.
Eisenhower Fellowship: Eisenhower Fellows
Alu Entreprenurial Leadership scholarship Apply at https://alueducation.com/entrepreneurial-leadership-scholarship
Internship opportunity at the African Development Bank Headquarters Internship Programme - African Development Bank
UWE Bristol...
Kuna jamaa ni muhindi anaitwa Ridhaa. Nae ana kurasa FB anaiita Ridhaa Phone. Ndio lugha zake hizo. Eti simu na smart watch zake ziko Zanzibar, tunapokelea huko halafu wanaleta Dsm. Jamaa hafai kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.