Recent content by MrfursaTZA

  1. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Kambi kwa Wanafunzi wa Kidato cha Pili katika Shule ya Sekondari Mkuu

    Hapa suala sio gharama, tungetaka gharama tungewapeleka private schools, hapa ni suala la uwajibikaji, tumesikia serikali ikisema kila mara marufuku michango, je hnataka kusema serikali Imeshindwa majukumu yake? Je unataka kusema bila kambi wanafunzi hawatafaulu? Je shula zote tanzania nzima...
  2. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Kambi kwa Wanafunzi wa Kidato cha Pili katika Shule ya Sekondari Mkuu

    Natumai barua hii itakufikia salama. Mimi ni mzazi wa mwanafunzi aliye katika Kidato cha Pili katika Shule ya Sekondari Mkuu, wilayani Rombo. Nimeandika barua hii kuwasilisha maswali na malalamiko yangu kuhusu kambi inayotarajiwa kufanyika kwa wanafunzi wa Kidato cha Pili kwa gharama ya shilingi...
  3. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Waafrika, kumbukeni Mila na Desturi zetu

    Waafrika wa leo wamekuwa dhaifu kiasi cha kushukuru na kuthamini viumbe wa mawinguni, ambao hawajawahi hata kuwaona, bali wamesikia tu kupitia watu wengine. Wengi wa watu hao ni wakoloni, wazungu na waarabu, ambao walileta imani hizi. Kondoo wa dini wanapata shida kubwa wanapoulizwa maswali...
  4. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Waafrika, Kumbukeni Mila na Desturi Zetu

    Waafrika wa leo wamekuwa dhaifu kiasi cha kushukuru na kuthamini viumbe wa mawinguni, ambao hawajawahi hata kuwaona, bali wamesikia tu kupitia watu wengine. Wengi wa watu hao ni wakoloni, wazungu na waarabu, ambao walileta imani hizi. Kondoo wa dini wanapata shida kubwa wanapoulizwa maswali...
  5. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

    Umeandika Maneno meeengi kumbe pumba tupu huna hojaaaa
  6. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

    Hili jinga kabisa yaani wewe unaamini Mungu kwakuwa ameamdikwa kwenye story book?
  7. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

    Toa hoja acha blabla watu wanaamini mungu kwa kuwa wametishwa tuu
  8. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Je, dini inaweza kukupeleka kwa Mungu?

    Ningependa kujua, je, inawezekana kuwa Rais wa nchi wakati wewe si Raia wa nchi hiyo? Pia ningependa kufahamu, Mungu ni wa dini gani? Je, ni Muislamu au Mkristo? Kwa nini Masheikh na Wachungaji husema kwamba dini haiwezi kukufikisha Mbinguni? Kama Dini haziwezi kutupeleka Mbinguni, basi kwa...
  9. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Haiwezekani Mungu asimuue Shetani halafu aamuru Watu waue wanaofanya mambo ya kishetani; Haiingii akilini

    Vaave kbobori umeongea had moyo wangu umefurah
  10. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

    Tunamaanisha kapigwa ngwara
  11. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

    Saaasaa kama ndivyo, kwanini alikasirika wakati watu wa babeli walipotengeneza mnara? Si angewaacha tuu ilihali anajua kabisa hawataifikia mbingu yake
  12. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Kwanini vitabu vya dini havijataja sayari zingine zaidi ya Dunia?

    😂🤣😂🤣😂🤣
  13. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Sterling hafi had mwisho wa picha
  14. MrfursaTZA

    JamiiForums Tanzania Mungu Anampenda Shetani Zaidi ya Viumbe Vyake Vyote

    Kikubwa umepata concept
Back
Top Bottom