Recent content by mremas

  1. M

    Dr Slaa alakiwa Kigoma kwa Shangwe

    Viva Chadema Viva Slaa mapambano yanaendelea mpaka dola ikamatwe tupate maendeleo ya ukweli!! poleni wanafiki wa ccm najua moyoni mnaikubali chadema.
  2. M

    Sijajiuzulu uongozi CHADEMA-Prof.Baregu

    CCM inatumia nguvu kubwa sana lakini watambue tanzania ya leo si ya jana!! watu wanapohitaji mabadiliko ni ni lazima yawepo.
  3. M

    Wanakigoma tunakusubiri mbunge wetu ZZK utuambie chakuifanya CHADEMA na unafiki wake

    maamuzi ya kamati kuu ni sahihi kabisa hata mim binafsi huyu Zk sikua na imani nae kabisa!! CCM imegonga mwamba ishu imesanukiwa mapeema hii inaonyesha ni kiasi gani CDM iko makini!!
  4. M

    Katiba ya CCM inaipa NEC Mkoa uwezo wa kumfukuza mwanachama na kiongozi

    CCm haiko kwaajili ya kuwatetea wananchi bali iko kwa ajili ya kutetea masilahi yoa! na hii imedhihirika wazi hapo BKB!! woa kwao ni sahihi kodi za watanzania zitafunwe na wachache huku maskini wakizidi kuteseka na garama kubwa za maisha!!! watanzania wenzangu 2014/2015 tusifanye makosa!!! kosa...
  5. M

    Katiba ya CCM inaipa NEC Mkoa uwezo wa kumfukuza mwanachama na kiongozi

    kwani inamaana nape hakuwa na taarifa za kikao cha NEC ya cc mkoa? kama katiba inaruhusu NEC mkoa kumfukuza mtu uanachama basi nape amekurupuka kutoka usingizini na anajaribu kuzoa maji yaliyomwagika kwenye udongo, matokea yake atazoa tope na si maji!!!
  6. M

    CCM ya watanzania, Chadema ya wateule

    Bos hapo umetema shudu aka pumba
  7. M

    CHADEMA haitalipa kisasi-Dr Slaa

    Watashindana lakini tutashinda kamwe nuru haizidiwi na giza!!
  8. M

    CHADEMA haitalipa kisasi-Dr Slaa

    Watashindana lakini tutashinda kamwe nuru haizidiwi na giza!!
  9. M

    TBC wasitisha matangazo LIVE bungeni

    Wanaficha uozo wa ccm wakati kila mtanzania anaujua mahakama imewaumbua baada ya kutenda haki!!! sioni maana ya tbc bora wazipe channel nyingene ridhaa ya kurusha live vipindi vya bunge, watu leo tulitaka kuckia kutoka serekalini kuhusu tuhuma za ugaidi dhidi ya chadema lakini ccm wametunyima...
  10. M

    Muswada wa kuzuia Maandamano nchini waja...

    sera ya ccm hiyo siyo ya serikali!! ana wasiwasi wakiitisha maandamano ya ccm hatatokea mtu hivyo wanaona bora kusiwe na maandamano kwa wote!!! tuna haki ya kuandamana ili mradi yawe maanadamo ya amani!!!!2015 will justify the means
  11. M

    MKUU wa wilaya Arusha azuila precision ichelewe kuruka Arusha kumzuia balozi wa Papa

    hii kali sasa dah inawezekana kuwa hana imani na rais nin
Back
Top Bottom