Kama wapinzani wanatumia nguvu nyingi kupotosha dhidi ya jitihada zinazofanywa na serikali,basi serikali inatakiwa kutumia nguvu nyingi kuwapatia wananchi taarifa sahihi.wananchi watapima na kuchambua mbivu na mbichi.hiyo ndiyo maana ya demokrasia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadharia nzuri lakini lazima kwanza tuelewe lengo hasa la kupiga marufuku hii biashara lilikuwa ni nini? Kwa maelezo yako naona unataka biashara hii ihalalishwe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na iwe hivyo.kwa sababu watu walishaanza kuizoea hii hali wakaanza kuwa sugu.wakisha kuwa sugu wanaanza Ku -count down muda wako wa kuondoka madarakani.ukishatoka madarakani wanakusahau kama vile hukuwahi kuwa raisi wa nchi;rejea ya Mugabe nani anam-miss? Labda watoto na rafiki zake.unafikiri...
Nilienda guest moja dodoma ,sasa kabla sijalipa huwa napenda kukagua kwanza chumba.chumba kilikuwa kisafi lakini nikaamua kupanda kwenye kiti kukagua juu ya kabati la nguo;nikakuta condom kama ishirini zilizotumika.nikamuuliza muhudumu kwa nini hawafanyi usafi vizuri? Akanijibu nimekwenda pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.