Recent content by Mr2hr

  1. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF

    Kuchota fedha za wanachama siafiki? CAG Kakagua miaka yote zaidi ya saba sasa na Hakuibua Tuhuma Hiyo. Kapitia cash flow za miaka Yote na Hakuona.Sasa Unatuaminishaje?
  2. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF

    Hivi kuwa na shule ni kigezo kuwa umeiba na wewe mi mkurugenzi?, Wote wenye shule binafsi wameiba? Halafu haya ya cha juu kuprove shida kwa sabab maamuzi ya matumizi huusisha jopo la wachumi, bodi,na kadhalika. Bw. Sanga ndie alie ipaisha Lapf. Ilikuwa haisikiki. Kumiliki shule kwa makamo yale...
  3. M

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mwenyekiti wa bodi ya udhamini ya Mfuko wa Pensheni wa LAPF

    Kalun'gango ungemwaga ushahidi jambo hilo gumu kuproov.
  4. M

    Mfuko bora wa pesheni ni upi kwa walimu watarajiwa?

    Mkuu ci kubaliani na wewe kwani mpaka sasa pspf uhai wake hatihati unapungukiwa tirion 6 kulipa wafanyakaz waliopo kazini cag, sasa anae jiunga leo atalipwa nini baadae, take care
  5. M

    Mfuko bora wa pesheni ni upi kwa walimu watarajiwa?

    Mfuko unaopendwa zaid kwa kuwa na formula bora mshahara wa mwisho, huduma bila foleni, mafao mengi ni LAPFna hauja filisika.
  6. M

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Hivi PCCB WAMESHA ITA AU BADO
Back
Top Bottom