Recent content by Mr T

  1. M

    Rais Magufuli amteua Bi. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    uko sahihi maana utasikia mimi ni ex mama wa kwanza hivyo bwana sugu ukiongea na mimi liweke hilo akilini mwako........
  2. M

    Waaaaw!

    haya mambo si ya mchezo nashukuru kwamba hawa jamaa wanamajina wanayoyapenda. leo nimepata ujumbe kama huo ulioupata mwaka 2009. ovious is a scammer
  3. M

    Mwanamke anayejiweza kimaisha

    mwanamke kuwa na faranga sio tatizo ila ukijilegeza kidogo ujue atakuendesha: ukitaka mambo yaende sawa hakikisha unakuwa na rules/principles tangu mwanzo wa penzi lenu. Hatari ni pale ambapo mwanamke anapata bingo mkiwa ndani ya ndoa kisha zikampagawisha hasa zile zinazoitwa nafasi za...
  4. M

    Visa vya wake wenza

    :mad2::confused2:
  5. M

    Hongereni NSSF kwa kufanya hivi

    Pongezi kwa NSSF ipo palepale ila tu tuwakumbushe ndugu zetu mapolisi wayajali majengo hayo na kuishi kistaarabu kwa kuyatunza. Si unajua tena hawa wa kwetu unawezakuta maji ya ukoko yanamwagwa kibarazani wakati shimo la taka lipo
  6. M

    Hadithi hadithi

    walipofika wote watatu
  7. M

    Wachaga pia huharibu majina

    MMMMMMM ila msisahau na wahaya kwa kujipa majina ya mitandao ya simu, aina za simu hata magari kama vile koku......... celtel, koku........toyota, rwega.........nokia. hii sio rafdhi kaka ni rafudhi au na wewe ni walewaleeeeeeeee
  8. M

    Nissan March inauzwa

    huo ndio ukweli wenyewe mzee
  9. M

    Wivu wasababisha azinyofoe Nyeti za Mpenzi wake

    habari hii ina mahali pake iwashe huko itaeleweka zaidi
  10. M

    Nissan March inauzwa

    mzee tuwasiliane tu huwezi jua tunawezakufikia muafaka. hivi vitu vya moto hatufungi navyo ndoa mkuu
  11. M

    Nissan March inauzwa

    Haka kagari kameingia nchini mwaka 2007
  12. M

    Nissan March inauzwa

    mzee invisible picha nimezituma kwako uzirushe hapa, Mzee fidel80 bei usiiogope biashara ni makubaliano kaka
  13. M

    Nissan March inauzwa

    nissan march ya mwaka 1993 manual ya milango mitano inakaribia 70000 km inauzwa bei 6m na maelewano yapo anaeihitaji aweasiliane na mimi kwa email yangu jkishoka@yahoo.com kwa maelewano na detail
Back
Top Bottom