Recent content by Mr sule

  1. Mr sule

    Nimeona story ya Beka ya mahari milioni 22. Nawapa experience yangu nilivyobargain na wakwe zangu, vijana jifunzeni

    Vipi kuhusu India. Ila bora utoe mahari huu ni utamaduni mzuri, nchi kama Marekani wanaume wanalia na ndoa cos hawana mamlaka ya kucontrol mwanamke. Unaishi na mwanamke hata wazaz hawakujwi inategemea nini hapo
  2. Mr sule

    Kwenu Waislam mnaopenda kusikiliza nyimbo za Injili

    Wewe unasikiliza zipi mkuu
  3. Mr sule

    Mlioko 2024 tujuzeni kuna lipi jipya?

    Ndugu zangu sisi bado hajubahatika kufika 2024, nyie mlioko huko 2024 tupeni update changamoto mnazo kumbana nazo ili iwe rahisi kwetu sisi wa 2023 kujipanga na 2024.
  4. Mr sule

    Hongera Sana FaizaFoxy, Mshindi wa U-miss JF 2023/2024

    Mmeanza kufanya masiala humu ndani
  5. Mr sule

    Nimfanye nini huyu mwanamke?

    Labda unatuma hela sana home kwa wazaz kuliko kujali familia, nae akaona akukomoe kwa niia hii
  6. Mr sule

    Natafuta Chumba cha 100,000/miezi mitatu

    Mtoa mada nina huakika hajajua matumizi ya K(1k), 10k), (100k)
  7. Mr sule

    Hakuna mahali watu wanaishi kwa kuigiza na kutolea stress zao kama JamiiForums

    Umeanza kutumia lini mitandao ya kijamii. huwez sema JF ni sehemu ya kufake maisha kama una experience na maswala ya SM
  8. Mr sule

    Mdahalo wa Ndacha na Dr sulle

    Siku ukiachaa kutumia simu, laptop TV na Kwenda shule. na mimi nitaona Dini ni upuuzi.
  9. Mr sule

    Mdahalo wa Ndacha na Dr sulle

    Wana jf naomba maoni yenu kutoka kwa watu hawa wawili. Kuna mdahalo unaendelea huko mtandaoni na unahusu uislam na ukristo. Una maoni gani kuhusu mdahalo huo. https://youtu.be/Qd_CdMt-_9A?si=Sk8ftjjfdbrJKqRq
  10. Mr sule

    Shamba la hekari mbili za mahindi lafyekwa, ni baada ya mkulima kurudia kosa alilofanya mwaka jana

    Kwaiyo kwa vile Canada wamefanya basi Tanzania nayo ifanya. Hivi umeelewa lakini? Mamlaka ilisema kutokana na dhamana tulionayo, hapa msilime mahindi kwasababu ya usalama. wao ndo wanajua usalama gani kwasababu wao ndo wamepewa Dhamana. Lakini mkulima alivyokutwa na kosa hilo kwa mara ya...
  11. Mr sule

    Shamba la hekari mbili za mahindi lafyekwa, ni baada ya mkulima kurudia kosa alilofanya mwaka jana

    Huyo Mkulima ni jeuri, Tueshimu basi mamlaka. umeshaambiwa usilime hapa, lakini wewe Unalima na istoshe umeshasamehewa mara ya kwanza.
Back
Top Bottom