Recent content by MR SAAD

  1. M

    January Makamba na mfumo wa utoaji haki nchini

    hakuna serikali isiyo na mapungufu, rais kikwete amejitahid sana, na makamba ataanzia alipoishia kikwete kwa kuwekeza maarifa haya mapya.
  2. M

    Soma hapa Kitabu cha January Makamba na Tanzania Mpya

    mkude kibwana ndio anataka urais??
  3. M

    Hivi ndivyo rais mstaafu Mwinyi anavyomzungumzia Makamba

    NAMI nilijiuliza hivyo, ila baada ya kusoma kitabu chake nimegundua mengi sana kumhusu huyu kijana, kwakweli anafaa kuwa rais wa nchi yetu.
  4. M

    Hivi ndivyo rais mstaafu Mwinyi anavyomzungumzia Makamba

    jina lako2 la POMPO linaonesha akili yako ilivyokuwa POMPO
  5. M

    Hivi ndivyo rais mstaafu Mwinyi anavyomzungumzia Makamba

    Tumaini jipya la watanzania=j.y.makamba
  6. M

    Hivi ndivyo rais mstaafu Mwinyi anavyomzungumzia Makamba

    ujasiri upi ambao unaona mh. hana? na ubishoo upi ambao anao? hapo kwenye ubishoo ungeweka utanashati
  7. M

    Hivi ndivyo rais mstaafu Mwinyi anavyomzungumzia Makamba

    we msese unataka mh.makamba akufundishekutumia simu?? hahah!! tatazo letu wabongo tunapenda sana ofa za kwenye mitandao ya cm!!!! sasa wakitulima lawama kwa wizara! why? ww ukiona umeibiwa na kampuni ya cm kwanza wafate hao kampuni wakuelekeze,, uzembe wako
  8. M

    Nimekisoma nimekielewa jamaa yupo vizuri sana

    Mpambanaji wa ukweli
  9. M

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    ndio,, tunaweza kumteuwa yeyote kati ya watajwa wa URAIS lakini mwisho wa siku tukawa tunajilaumu,,,, tuna tatizo moja si dogo,, ktk swala la kusahau! sidhani kama tuna maradhi hayo ila tatizo letu ni "KUDHARAU" Ndio,, kwanza kabisa tuna "fikra mgando" kwa...
  10. M

    Sema aage nyonga, mbio simkataze; makamba.

    sijaelewa chochote hapa mkuu, unamaanisha nini au ndio debe kwa makamba?
  11. M

    Moja kati ya interview ya makamba na bbc ninazo zipenda.

    acha kuchanganya vitu ww
  12. M

    Moja kati ya interview ya makamba na bbc ninazo zipenda.

    Katiba mpya yahitaji muafaka wa kitaifa. Kuna haja ya kuitishwa kwa kura ya maoni juu ya uwepo wa jamhuri ya muungano na muundo wa muungano. Rais ajaye inabidi aendane na mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolijia hivyo fikra mpya ni muhumu katika kuingoza nchi yetu kuliko kipindi chochote...
  13. M

    Makamba amesaidia kushushwa kwa gharama za simu, Nampongeza sana

    MATANDAO YA SIMU ww huijui? au ndio walewale team team.......
Back
Top Bottom