Askari Magereza wanadai kuna wengine wanalipwa hiyo hela ya mazingira magumu na wengine hawalipwi. Hii ikiwa na maana hilo fungu kuna wachache wanakula huko juu
Kuna mtu alikuwa ni mfungwa akatumikia kifungo jela kikaisha eti na yeye leo ni Askari kwenye moja ya vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tena hivi vikubwa vikubwa . Aibu hii [emoji706]
Hivi mtu ambaye alishawahi kuwa MFUNGWA gerezani anaruhusiwa kuwa Askari kwenye hivi vyombo vyetu vya ulinzi na usalama tena kwenye haya majeshi makubwa makubwa..?
Nacho fahamu mimi wafungwa huvaa nguo za rangi ya orange au karoti. Lakini siku moja nipo sehemu nikaona askari Magereza wakiwa wamebeba wafungwa wenye sare za rangi ya bluu. Vipi zile za rangi ya karoti zimebadilishwa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.