Recent content by Mr pianoman

  1. Mr pianoman

    Against All Odds, Vita vya USA/Israel na Iran Vitadumu Muda Mfupi na Utawala wa Kiayatollah Kufutiliwa mbali

    Kwa mujibu wa maandiko Iran zama zake zimeshapita kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hivi sasa ni zama za Marekani na ndiye anakwenda kutimiza unabii kama ilivyo andikwa kwenye kitabu cha Daniel.
  2. Mr pianoman

    Shirika la kuaminika la kimataifa(CIR) kutoka Uingereza laja na report nzito yenye ushahidi mauaji M029

    Kuna ng'ombe aliuwawa sehemu kikatili sana usiku wa manane alikatwa katwa mapanga ya miguu na kichwa. Asubuhi kunakucha mwenye ng'ombe anamkuta ng'ombe wake zizini hali ni mbaya akitoa machozi kama ya binadamu aliye dhulumiwa haki yake. Kutokana na uchunguzi wa haraka haraka kuna mtu alihisiwa...
  3. Mr pianoman

    PostGE2025 Makonda ateuliwa kuwa Waziri wa Habari, Simbachawane atenguliwa Uwaziri wa Mambo ya ndani ya Nchi

    Wale wanaongezewaga marupurupu yao kimya kimya sasa yeye kayaweka wazi.
  4. Mr pianoman

    PostGE2025 Jovin Kaaya: Askari Magereza walituonesha upendo, walitutia moyo

    Mahabusu sio Mali ya askari magereza ni mali ya mahakama, ndio maana askari magereza hawakudili na wewe. Askari Magereza mali yao ni mfungwa, huyu ndio wanadili naye bampa to bampa yaani wanacheza na mfungwa the way alivyo. Na mfumo wanao utumia askari magereza kuwanyoosha wafungwa ni ile...
  5. Mr pianoman

    GE2025 Polepole: Mama wewe pumzika hautakiwi kugombea, lakini naona umeshupaza shingo, usitake Mungu akasirike juu yako

    Mimi sio mwanasiasa na wala sijuhusishi na siasa ila nacho taka kusema ni kwamba huyu bwana mdogo polepole ni mnafiki sanaaaa maana hakuna utawala uliotesa watanzania kama utawala wa Magufuli. Na huyu Bwana mdogo Polepole ndio alikuwa mshauri mkubwa wa Jiwe.
  6. Mr pianoman

    Wanajeshi wa Comoro wapo serious kweli ndio nini hiki kumdhalilisha Rais wetu?

    Wamemdhalilisha Amiri Jeshi wetu na wala sio paredi la mapokezi ya kupokea viongozi. Askari , No dressing, mpangilio mbaya kwenye usimamaji yaani ni fedheha kwa kweli 🚮🚮🚮
  7. Mr pianoman

    TANZIA Steven Msaki bishoo wa Mbezi Beach afariki dunia

    Tofauti ya Tozi nyangema na bishoo ni ipi mkuu 😂
  8. Mr pianoman

    Ukweli Usiosemwa: Mbinu chafu na njia za kufanikiwa

    Pamoja na yote ila wakumbushe pia wajue kwenye maisha hakunaga shortcut. Na ukiona umefanikiwa kwa njia ya shortcut tambua hapo mbele lazima utailipia tu upende Usipende.
Back
Top Bottom