Kwa mujibu wa maandiko Iran zama zake zimeshapita kabla hata ya kuzaliwa Kristo. Hivi sasa ni zama za Marekani na ndiye anakwenda kutimiza unabii kama ilivyo andikwa kwenye kitabu cha Daniel.
Kuna ng'ombe aliuwawa sehemu kikatili sana usiku wa manane alikatwa katwa mapanga ya miguu na kichwa. Asubuhi kunakucha mwenye ng'ombe anamkuta ng'ombe wake zizini hali ni mbaya akitoa machozi kama ya binadamu aliye dhulumiwa haki yake. Kutokana na uchunguzi wa haraka haraka kuna mtu alihisiwa...
Mahabusu sio Mali ya askari magereza ni mali ya mahakama, ndio maana askari magereza hawakudili na wewe.
Askari Magereza mali yao ni mfungwa, huyu ndio wanadili naye bampa to bampa yaani wanacheza na mfungwa the way alivyo. Na mfumo wanao utumia askari magereza kuwanyoosha wafungwa ni ile...
Mimi sio mwanasiasa na wala sijuhusishi na siasa ila nacho taka kusema ni kwamba huyu bwana mdogo polepole ni mnafiki sanaaaa maana hakuna utawala uliotesa watanzania kama utawala wa Magufuli. Na huyu Bwana mdogo Polepole ndio alikuwa mshauri mkubwa wa Jiwe.
Wamemdhalilisha Amiri Jeshi wetu na wala sio paredi la mapokezi ya kupokea viongozi. Askari , No dressing, mpangilio mbaya kwenye usimamaji yaani ni fedheha kwa kweli 🚮🚮🚮
Pamoja na yote ila wakumbushe pia wajue kwenye maisha hakunaga shortcut. Na ukiona umefanikiwa kwa njia ya shortcut tambua hapo mbele lazima utailipia tu upende Usipende.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.