Recent content by Mr-Njombe

  1. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Dk. Wilbroad Slaa ni mwanachama wa chama gani cha siasa Tanzania?

    Anaaminika kwa lipi hasa hata apewe taarifa na kujulishwa mambo kadha wa kadha ya kitaifa na watu anaowaita wana usalama juu ya kinachoendelea nchini? Ana umuhimu gani au ana ushawishi kwenye lipi hasa humu nchini hasa ukilinganisha historia ya maisha yake ya kifamilia na siasa ilivyogubikwa na...
  2. Mr-Njombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuna walioanza mwaka 2025 kwa kupata magonjwa baada ya kufanya mapenzi kizembe

    Poleni sana, ni muhimu kujifunza kujali afya kwanza kabala ya starehe. Tazama sasa maumivu unayopitia, gharama na muda unaotumia kujitibu kwasababu tu ya starehe ya muda mfupi. Jifunze kutumia kinga na kuepuka kufanya ngono zembe kiholela. Baki njia kuu. Kunywa pombe kupita kiasi ni hatatari...
  3. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Mgawanyiko na mpasuko ndani ya CHADEMA, sasa wadhihirika bayana na unaelekea pabaya usipodhibitiwa mapema kisiasa

    Mwanzoni viongozi waandamizi wa chadema hususani ngazi ya taifa walikua wakijipiga kifua sana hadaharani kwamba hakuna mgawanyiko wala mpasuko wowote ndani ya chadema, ispokua kilichokua kinajitokeza ni uhuru wa viongozi na wanachama wa chadema kutoa maoni na mitazamo yao dhidi ya waliyo kua...
  4. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

    tujadili tu kiungwana, heche atapata kura kutoka kanda gani?
  5. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

    sio kwa ubaya mkuu, hebu tuelekezane heche anaweza kupata kura hata moja kutoka kanda ya kaskazini au zanzinbar?
  6. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Hakuna mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CHADEMA Taifa nje ya Tarime anaweza kumpigia kura John Heche nafasi ya Makamu Mwenyekiti

    Heche anajulikana kwa ubinafsi, huku hekima na busara vikimpitia pembeni kama ilivyo kwa Lissu. Lakini pia ni Heche ni muoga sana field ukilinganisha na majigambo yake kwenye mikutano au press. Ana maadui wengi zaidi chadema sambamba na Tundu Lissu anaeona kila mjumbe wa mkutano mkuu chadema au...
  7. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Uamuzi huu wa ghafla wa Tundu Lissu kisiasa, maana yake ni ama awe mwenyekiti wa CHADEMA taifa ama aangalie utaratibu na uelekeo mwingine

    Hii ni polite exit strategy ya kuondoka chadema. kubaki kwake chadema ni lazima ashinde uenyekiti taifa. kinyume na hivyo atachukua mkondo mwingine kisiasa. Ni kwanini atangaze kugombea umakamu mwenyekiti awali, halafu ghafla unabadili gia angani na kuutaka uenyekiti na sio umakamu mwenyekiti...
  8. Mr-Njombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Matusi ya nini sasa wakati wa kufanya mapenzi ndugu zangu?

    Heshima ya chakula kiliwe ukiwa umevua kofia :PRANKEX:
  9. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Marekani yamsifia rais Samia kwa kuimarisha demokrasia na bunge laidhinisha ufadhili kwa Tanzania

    chadema wanajulikana kwa balozi wa tanzania tu ambae hana influence yoyote kwa wabunge marekani
  10. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yajitenga na kauli za BAZECHA kuhusu hoja za udini

    mambo yandani ya vyama saa zingine busara kubwa sana inatakiwa:PRANKEX:
  11. Mr-Njombe

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kaimu IGP Masengeli ahukumiwa kifungo cha miezi 6 jela kwa kudharau Mahakama

    Nchini kenya Kaimu IGP kahukumiwa miezi 6 jela kwa kosa la kutoheshimu wito wa mahakama. Sasa je kwa upande wa kwetu tanzania kitu kama hiki kinaweza kufanyika na je wataalamu wa sheria mtusaidie kwa nchi yetu kuna vifungu vinaweza wabana wakuu wa vikosi kama hawa kama ilivyo kwa nchi ya Kenya...
  12. Mr-Njombe

    JamiiForums Tanzania Masauni na IGP Wambura wakijiuzulu itatoa picha gani kitaifa na kimataifa?

    tuviamini vyombo vya uchunguzi vilivyopewa dhamana kwa sasa kwanza
Back
Top Bottom