Recent content by Mr njaa

  1. Mr njaa

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu utapanngiwa tu kua mpole
  2. Mr njaa

    Hebu tuwaze namna Utumishi wanaweza wakawapunguzia gharama za usaili wanaotafuta ajira

    Ni ngumu kujua Kama mtahiniwa anayefanya Ni mwenyewe..... Pia mechanism ya internet accessibility sidhan Kama rafiki
  3. Mr njaa

    Utumishi kupitia Ajiraportal wanatumia muda mrefu hivi kwenye kuchakata wanaoomba ajira?

    Una kichwa Cha kucover vtu vya miaka mitatu kwa wiki moja?
  4. Mr njaa

    Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Kaz zako zipo ajira portal Kama programmer mzur uhakika
  5. Mr njaa

    Utumishi kupitia Ajiraportal wanatumia muda mrefu hivi kwenye kuchakata wanaoomba ajira?

    Umesoma au unalilia interview tu? Hbu Anza kusoma standard kwanza
  6. Mr njaa

    Sijawahi kuona haya mashirika ya umma yakitangaza kazi

    Wanatngza Ila hawapitii psrs
  7. Mr njaa

    Kanzidata ilivyoongeza passmark kwenye pepar za written

    Habar wasakatonge wenzangu, Kuna kitu nimekiona hivi karibunj kwenye interview zetu pendwa za utumishi wa umma, Kwenye nafasi ambazo candidate wake hua wanakua wengi Kama HR, Accountant, Auditors,Tax,Lawyers hv karibuni wamechukua marks za juu sana kifupi unaweza pata 60 na usiende Oral angalau...
  8. Mr njaa

    Aliesomea uhasibu na aliesomea Utawala (HR) anaweza kufanya kazi law firm?

    Modern HR it's all about ku ensure compliance zinahosuana na employment issues zinafuatwa vzr na legal issues about employment zinakua settled according ndio maana ....law firm wakimuhitaj HR specifically atakua amesoma law......
  9. Mr njaa

    Maombi mapya TRA

    Next Friday
Back
Top Bottom