kusema ukweli ni kwamba bora EL kuliko mwingine yeyote ndani ya ccm kwani kushitumiwa si kuhukumiwa. tukumbuke kuwa hata Mandela alishitumiwa bala hatia. hivyo LOWASA hakuwa na hatia katika.
Mbali ya Mimi kutojua itikadi wa act, bado pia sijajua itikadi wa zitto kabwe ambao awali alituhakikishia kwamba yeye ataondokana na siasa na kwenda kufundisha ujasiriamali. So nilitaka kujua huo mpango uliishia wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.