Ni kweli jiji linakuwa kwa kasi saana,lakini mkae mkijua mmetuonyesha sehemu za mijini tuu kulivyo kuzuri hasa tokea juu,hebu tutembezeni sehemu nyingine huku mkidisplay uozo wa mitaa then tujue jinsi gani ya kuchangia nini kifanyike.
Nimekuelewa mheshimiwa,ila umenichanganya kwa division uliyopata ni one au two,au ulipigwa penati ya GS, pia ilitakiwa ujiulize kwanza ni kiasi gani unaifahamu PESA?......... Na unaposema BUMU hulipendi sio kweli Ila tu huna jinsi ya kupata tena hilo bumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.