Recent content by Mr Multpurpose

  1. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamu juu ya biashara ya stationery

    Naomba kufahamu juu ya biashara ya stationery
  2. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Habarini wapendwa je naweza kupata soko kwa ajili ya dagaa wachafu kwa chakula cha mifugo

    Kwa majina naitwa Regan mkazi wa kibaha mji mkoa wa pwani ni wauzaji wa dagaa kwa ajili ya kula sasa tulikusanya mzigo mkubwa kawa ajili ya kuuza kwa bahati mbaya mvua ikanyesha zikaloana so hazifai kwa ajili ya matumizi ya watu bali kwa matumizi ya vyakula vya mfugo inafaa kama kuna mtu ana...
  3. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Habarini wapendwa je naweza kupata soko kwa ajili ya dagaa wachafu kwa chakula cha mifugo

    Wapendwa habarini tuna stock ya tan 35 ya dagaa wachafu kwa ajili ya chakula cha mifugo .so natafuta soko lake Asanteni
  4. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Wapendwa naweza kupata wapi soko la dagaa wachafu kwa ajili ya chakula cha mifugo

    Guyz habari mm ni mfanyabiashara naomba kujua sehemu ambayo watu wananunua dagaa wachafu kwa ajili ya vyakula vya migugo kwa sasa tuna tani kama 35 za dagaa wachafu lakni pia uduvi ila kwa sasa upatikanaji wake ni mdg sana.
  5. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Business Partners wanahitajika: Biashara ya Maziwa Fresh & Mtindi

    Hv ushapata partner?? Kama hujapata tuwasiliane kk
  6. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Haya ni manukato/perfume gani?

    Versace watumiaji wanaijua hii
  7. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Tafadhali naomba mwongozo wa namna ya kufuga Kasuku

    Habari mkuu ulifanikasha hili swala
  8. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Tafadhali naomba mwongozo wa namna ya kufuga Kasuku

    Habari mkuu
  9. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Nashida na vifaranga vya kanga

    Mchanganyiko
  10. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Nashida na vifaranga vya kanga

    Hlw guyz, Nashida na vifaranga vya kanga vya wiki moja nipo Kibaha Pwani.
  11. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Mimi ni kijana wa miaka 23, nina mtaji wa 120k naombeni mnishauri biashara ya kufanya

    Wapendwa samahanini kwa usumbufu, mimi ni kijana wa miaka23 nina mtaji wa 120k naombeni mnishauri biashara ya kufanya, nipo mkoa wa Pwani Kibaha Loliondo.
  12. Mr Multpurpose

    JamiiForums Tanzania Nauza miti aina ya Mitiki yenye miaka 6 na iko shambani

    Unauza shingapi boss
Back
Top Bottom