Habari naombeni kujua adhabu ya kutembelea gari ya commercial(gari la biashara, plate number nyeupe) likiwa na plate number ya private (plate number ya njano)?
Habari ndugu na jamaa, naitwa Abduly mtenya natafuta kazi ya udereva ni mzoefi wa miaka 6, na sifa zote za udereva 99%…
📲whatsapp number & calls for more information +255659972797 asanteni👏
Habari ndugu zangu...naombeni connection ya gari ya udereva mkoa wowote...na vyeti( certificate of secondary, veta advance driving) road license class C.. umri miaka 28.
kwenye uber mkataba unamaanisha hivi:: hesabu kwa wiki laki 2 ila baada ya miaka 2 gari lako....yaani dereva akimaliza mda wa mkataba miaka 2 anakabithiwa gari kisheria, service kwa dereva....na maisha inamaana hivi:: hesabu 150000 kwa wiki service kwa boss ila mda wowote boss anaweza chukuwa...
Natafuta kazi ya uber
Habar, mimi ni kijana wa miaka 26, ni mzoefu wa kazi ya uber miaka 2 sasa...mwaminifu,mtanashati pia nithamu ya hali ya juu...sina gari kwa sasa naombeni msaada wa ajira.makazi yangu ni bunju b
no.0764687024
Habar, mimi ni kijana wa miaka 26, ni mzoefu wa kazi ya uber miaka 2 sasa...waminifu,mtanashati pia nithamu ya hali ya juu...sina gari kwa sasa naombeni msaada wa ajira.makazi yangu ni bunju b
no.0764687024
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.