Recent content by Mr.Mponezya

  1. Mr.Mponezya

    Updates: Mikutano ya Lowassa mkoa wa Dar Es Salaam - Tarehe 7 Septemba, 2015

    tupeni picha wadau..wengine tuko ofisini, tuone..mabadiliko lowasaaaa
  2. Mr.Mponezya

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    jamaa tumemchoka aisee...si mtekelezaji, ameshindwa upadri, ameshindwa ukatibu mkuu ameshindwa uraisi, ndoa pia imemshinda...ni looser at all...
  3. Mr.Mponezya

    Diamond kila anapogusa moto

    aulize marlow yuko wapi...siasa imempoteza kushadadia green team,
  4. Mr.Mponezya

    Lowassa, anguko la upinzani nchini na hadithi ya bora shetani nimjuaye kuliko malaika nisiyemjua!

    jamaa ameandika mambo kibao afu yote hayana ushawishi, hayavutii hata..50 years of uhuru guys, review point no 5. why wasifanye enzi za JK..aaaisee akuna mpya...peopleeeeeees
  5. Mr.Mponezya

    Hofu yatanda kwa viongozi wa CHADEMA baada ya Magufuli kukubalika

    jamaa hana point hata...hofu kwa nyomi lipi..?? nasi ukawa tukisema tulete wafuasi siku ya ufunguzi basi DSM haita tosha
  6. Mr.Mponezya

    Taarifa kwa umma: NEC yaviliza vyama vya siasa kwa kutoa taarifa hii

    duuu..ivyo vifungu kwa nn visianze kazi tangu ufunguzi wa CCM???Aaasee hawa jamaa ni mabogasti saaana
  7. Mr.Mponezya

    Uzinduzi wa kampeni ya ACT-Wazalendo Viwanja vya Zakheem, Mbagala

    da huyu b mkubwa bora angenunua kipindi redio tanzania afu akarusha matangazo yake ya uzinduzi kuliko kupoteza mda jukwaani..au aungane na CCM..huyu Ukawa hatumhitaji maana nyota yake imefifia kama ja JPM
  8. Mr.Mponezya

    Kizazaa cha fedha za Kampeni Lowassa, CHADEMA na UKAWA

    faiza...uwelewa wako ni mdogo sana kwenye siasa still unasiasa kama za waimba taarabu...Pesa wawe nayo wasiwe nayo we inakuhusu nii? achomwe sindano mara 4 kwa siku inamaana analala masaa 8 per day..embu tumia akili kama kiumbe wa kawaida ambae umepewa fikra ya kufiriki...acha kushadedia...
  9. Mr.Mponezya

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    JPM anafanya watu wapumbavu sana...msimamo nin ule ule...mchaka mchaka :roll:
  10. Mr.Mponezya

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    Speechless...aanze na M/kiti wake kumfunga & jopo lake lote la kampeni maana limejaa watu kama hao
  11. Mr.Mponezya

    Mgombea Urais kwa tiketi ya UKAWA Edward Lowassa, akiwa kwenye daladala leo asubuhi

    Thats nice mr president...safi kwa kukaa pamoja na wanainch wako kwa daladala...nzuri sana! NIMEIPENDA SANA
  12. Mr.Mponezya

    Mdahalo ITV: Umuhimu wa Maadili katika kuimarisha Amani, Umoja na Haki kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Na mgombea Maskini sisi atumtaki..tunataka mgombea tajiri mwenye pesa na nguvu ya ushawishi ili tumpe kura, atutaki LAPTOP...
  13. Mr.Mponezya

    Regina Lowassa ni mwanamama wa mfano, mke bora

    sure! school ni kitu mihimu sana...hongera sana Bi. RL kwa kumpa sapoti mzee EL, Tuko nyuma yenu kura....
  14. Mr.Mponezya

    Kusini wamlilia Lowassa

    unaweza ona unajitia kidole kwa EL, kumbe kuna dole gumba lenye makucha laweza zama loote na kuacha alama za michubuko...pole sana kwa yule kijana ambaye hapendi mabadiliko
Back
Top Bottom