Wadau mm nipo mkoa wa Iringa natafuta soko au watu binafsi wenye uhitaji wa mabanzi au makapi ya mbao mkowa wowote tuwasiliane ili tufanye biashara namba yangu ni 0767879732.
Hii ni picture ya mabanzi.
Mtoa post hii naomba nikusahihishe kua chiku Abwao sio mwenyekiti wa chadema wa mkoa yeye alikua ni mbunge tu wa Viti maalumu ninae kujuza mm ni mwana chadema nipo hapa Iringa.
Kwa taarifa yako chiku tunashukuru kwakazi aliofanya mwaka 2010 kwenye kampeni kwakuwatia ujasiri vijana wa iringa na...
Ndugu wadau napenda kujifunza kutoka kwenu kwa wale wenye kujua vizuli kuhusu biashara ya ngozi na soko lake.
Nataka kujua uitaji wake gharama ya manunuzi na gharama ya sokoni.
Na je! soko kuu liko wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.