Sina Maarifa mengi katika Soka, ila Nina amini Msingi wa timu imara na Bora yeyote unaanzia kwenye Kiungo..
Kama hapa wataleta mzaha(ambao tayari wameufanya) basi tutangoja sana..
Nimeishuudia Chelsea ya kwanza ya Jose Mourinho..(Lampard, Essien, Ballack, Obi, Makelele) wengine wamenitoka, hii...