Recent content by Mr Mike

  1. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Poleni Familia ya Jota Poleni Familia ya Liverpool Poleni Familia ya mpira.. Diogo umeondoka mapema.. Umetuachia simanzi sana Soccer Family.. ulikuja, ukacheza, umeondoka.. Lala kwa Amani Diogo.. hadi wakati ujao
  2. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kujiunga na Vyuo vya Kati (Colleges) kwa ngazi za Cheti na Diploma

    Mkuu naomba muongozo kwenye kuomba vyuo vya kilimo.. unaomba kwa namna gani? upande wa mifugo nimeona ni unaomba Wizarani kama sijakosea.. huku kwenye kilimo nimetafuta namna ya kuomba sijafanikiwa.. natanguliza Shukurani
  3. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ziwasaidie watumishi waliohama kuhamishia taarifa zao walikohamia

    Sina hakika Mkuu.. Jaribu bahati
  4. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ziwasaidie watumishi waliohama kuhamishia taarifa zao walikohamia

    Huu sina hakika sana nadhani mambo hayajakaa sawa.. Changamoto itakuwa ni ile ile mfumo haujawa mwepesi bado
  5. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ziwasaidie watumishi waliohama kuhamishia taarifa zao walikohamia

    Kwa kubadilishana Mkuu.. ni kwamba TAMISEMI wao ndio wana approve baada ya Afisa Utumishi wa unapotoka kuwa ametuma taarifa zenu huko.. changamoto Approval inakuwa ya kusubiri sana
  6. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ziwasaidie watumishi waliohama kuhamishia taarifa zao walikohamia

    Hapana kwa kubadilishana Mkuu
  7. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    mpira mbovu..mbinu mbovu..mwamko na ari mbovu..akili za wachezaji mbovu..mfumo mbovu pia.. unawezaje kumkamia Liverpool, Arsenal and Co..kupata matokeo kisha ukafungwa na Brentford?? katika mechi 38, ukifungwa na City iliyo bora 2, Liverpool iliyo bora 2, Arsenal iliyo bora 2, sawa na mechi...
  8. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    hata wewe?
  9. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nakumbuka Mkuu.. Nyingi akiongoza zinasawazishwa..hio ipo hata sasa..ila alikua na watu wanaofunga magoli ya kutosha.. Sio hao wetu.. Jambo jema kusimama na mwalimu wetu..kikubwa awaondoe shaka wote wenye shaka nae.. Last season ni tuliponea zaidi ubutu wa Chelsea na Liverpool.. Achilia mbali...
  10. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Hata pep anapenda watu kazi siku hizi.. Hata King Leo na ufupi wake alikua na nguvu sana
  11. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Luis Van Gal amewahi upiga na kina Fellaini.. Mr Erik hakuona shida iliyokuwa ikiipata timu pale alpokuwa akikosekana Case?? Sasa kwa nini hakutafta mbadala wa haiba ile kama Msaidizi? Akamleta Amrabat..
  12. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sawa Mkuu.. Ila kama Manchester siku moja tutabeba ubingwa wa EPL Rashford atakuwa mchezaji wa akiba Bruno ni mixed Mainoo Yes Hojlund Yes(asiumie umie sana) Lisandro Yes (asiumie umie pia) Onana Yes (ame anza kuzoea) tunampa mda Garnacho Mixed (apate Mwl asiechekelea utoto) Transition...
  13. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tatizo ni mfumo Mkuu..hili kashindwa..au ni uongozi wa mpira haupo Manchester United.. Liverpool jana hawakuwa na Allison Trent Robbo(alitokea benchi) Salah (alitokea benchi) Konate Jota Ila watoto waliupiga sana sana.. Ikifika sehemu KDB anagomba, Bernado anapaniki, Foden anangoja Rebound...
  14. Mr Mike

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Na hili ni pungufu lake katika falsafa yake ya kufundisha mpira..ameshindwa kuiheshimu EPL.. Pep ametamba kwa gharama kubwa sana na bado amepata free run mara 2 tu kati ya ndoo zake 5..mbili kazibeba mechi ya mwisho.. Moja pia ni kukosa ukomavu kwa Arsenal.. Zile mbili tulizomfatia alikuwa...
Back
Top Bottom