mpira mbovu..mbinu mbovu..mwamko na ari mbovu..akili za wachezaji mbovu..mfumo mbovu pia..
unawezaje kumkamia Liverpool, Arsenal and Co..kupata matokeo kisha ukafungwa na Brentford??
katika mechi 38, ukifungwa na City iliyo bora 2, Liverpool iliyo bora 2, Arsenal iliyo bora 2, sawa na mechi...