Recent content by mr man city

  1. mr man city

    Natamani kujifunza udereva

    Wakuu, Kabla sijafika ofisi za VETA Mwanza naomba madereva mnishauri hapa. Nahitaji mwaka huu usiishe niwe nimepata angalau ujuzi wa kuendesha magari haya ya kawaida tu pamoja na leseni yake. Nimeona VETA ndio chuo kinaonekana cha uhakika. Hizo course zinatumia muda sana maana bado niko na...
  2. mr man city

    Ufugaji wa kuku saso na ufugaji wa nguruwe

    Fug nguruwe mkuu. Mimi nimeanza kufuga sasso mwezi wa 8. Wako 100 tu ila hiyo gharama ni nyingi sana. Nilitaka kuwauza wakiwa na miezi mi2. Ila niliona watu hawafiki bei ninayotaka. Nimepambana nao na mpaka sasa wako 76 wameshakua niwauze sikukuu hizi. Niache kama 30 tu wa kutaga. Ila...
  3. mr man city

    Kuku wanauzwa

    Gharama za utunzaji wake ndio zinafanya wawe na bei pia. Jogoo akiwa na miezi mi5 anauzwa 25 hadi 30k. Mtetea anataga kwa mwaka na nusu mfululizo. Na akishamaliza kutaga unamuuza kama nyama 15k. Hawatamii. Anataga pekee. Ila mayai yake unaweza kutotolesha kwa incubator. Kuku chotara ni...
  4. mr man city

    Kuku wanauzwa

    Arusha.mjini
  5. mr man city

    Kuku wanauzwa

    Nauza kuku aina ya SASSO. Wana wiki 11. Bado wiki 10 hadi 13 mitetea waanze kutaga. -Jumla wapo 76. Wana uwiano sawa wa idadi..yani nusu kwa nusu na mitetea. -majogoo unaweza kuyauza msimu wa sikukuu kwa kuwa tayari watakuwa na wiki 18 wanakuwa wakubwa kwaajili ya nyama na uache mitetea...
  6. mr man city

    Laptop Inauzwa.

    Ni ndogo tu. Intel(R) Celeron(R) CPU 3855U @1.60GHz 1.61 GHz. RAM 4GB,Windows ni 10 pro
  7. mr man city

    Laptop Inauzwa.

    Specifications ninazozifahamu nimeweka picha zake. Mimi sio mtaalamu sana wa pc pia. Matumizi yangu sio mengi sana na pc.
  8. mr man city

    Laptop Inauzwa.

    Inafahamika mkuu, wote tunaishi nao tu, hakuna namna.
  9. mr man city

    Laptop Inauzwa.

    Wakuu nauza Laptop yangu Hp Probook. -kipengele ni betri pekee..kwahiyo ni kama pasi lazima kuwe na umeme ndio iwake. Betri ilikuwa sawa tu ila ndio naitumia hivyo hivyo. Nataka kujazia ninunue nyingine kubwa zaidi yake pia. -inafaa kama unatumia kwa stationary, kwa mwanafunzi wa chuo maana...
  10. mr man city

    Natafuta Azola kwa mkoa wa Mbeya

    Kama unatumia mtandao wa twiter mtafute kijana mmoja yupo SUA hapo Morogoro anaitwa Benno Lymo
  11. mr man city

    King'amuzi kinahitajika Mwanza

    Pamoja mkuu
  12. mr man city

    King'amuzi kinahitajika Mwanza

    Mimi nimekaa sana nyamalango...ila sasa nipo sweya hivi nimejichimbia. Nikila dagaa na samaki mara moja moja. Maana nazo hazishikiki. Ila mwanza nzuri bana.
  13. mr man city

    King'amuzi kinahitajika Mwanza

    Sawa mkuu. Acha tu nichukue huku huku. Maana ni karibia nusu ya hapo. Shukrani pia lakini.
Back
Top Bottom