Kama unataka kumla jibu usionyeshe kususa
Kwan kakuomba pesa, be a man
Ipo siku atajichanganya tu, kuna mademu wengine wameumizwa sana so wanakupima hata miezi sita
Pole sana kila mwanaume amepitia hicho kipindi, kuna ambao walimuachia mwanamke kila kitu wakatoka na nguo zao tu wakaanza upya, na mengine mengi kila mmoja ameumizwa nina mengi ya kukuambia na natambua situation yako ila fanya hivi
1. Hama mtaa au nyumba unayokaa ambayo mpenzi wako alikuwa...
Ukristo haufungamani na ushoga, tabia ya mti binafsi au dhambi ya mtu binafsi si dhambi ya dini Mungu haukumu dini bali atahukumu mtu, ukristo unakataza ushoga au mapenzi ya jinsia moja kimaandiko kabisa
Nilikuwa nawaza hiki kitu nikatoka ma majibu yafuatayo
1. Vipaumbele vya wanawake juu ya wanaume wanaowataka wawaoe si halisi wanaume wengi ni wounded na wamekata tamaa ya kuoa au kuishi na mwanamke, hawawezi kujitoa kwa mwanamke kiwango cha mwanamke kuwa that person is serious
2. Expectation...
Mnatubeza bila kutusikiliza
Mnatutukana bila kufikilia
Wanawake wa sasa wanamtzamo tofauti kabisa wa maisha na wanawake wa kizazi chenu
Vijana wengi wanamajonzi mioyoni mwao hawana sehem ya kusemea wazee wako busy, vijana wanamatatizo makubwa kuhusu mahusiano mengi sana,
Kundi la rafiki...
Mahusiano yamekuwa mtaji
Hasa hawa watoto wa 2000s hawaoleki, hawahusianiki, sijui itakuwaje baada ya miaka mitano lakini kwa vijana sioni vile wakioa aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.