Recent content by MR KARMA

  1. M

    Usaili wa Watu Credit Limited leo tarehe 31/01/2024

    Wakuu habari poleni na majukumu yenu ya kazi siku ya leo naenda moja kwa moja kwenye mada naomba kujua walifanikiwa kuwa shortlisted leo kufanya usaili uliokuwa unafanyika saa nane mchana wa nafasi ya Collection officer ilikuwaje na ni maswali gani yaliulizwa. Ahsanteni.
  2. M

    Jinsi ya kuandika CV, wasifu wa kazi unaovutia

    Ahsante kwa kuwasilisha.[emoji120]
  3. M

    Siku hizi vijana wanafaulu sana, nini kinachangia?

    Ni kutokana na kukua kwa teknolojia pamoja na upatikanaji wa matilio ya kusomea ya kutosha kwa njia mbalimbali mfano simu,. Siku hizi unaweza kusoma uku unakula ndizi[emoji529][emoji529][emoji529] zamani haya mambo yalikuwa bado ayajawafikia kwa watu wengi.
  4. M

    Mwalimu Shule ya Msingi akamatwa kwa ujambazi Mbeya

    Duuh kwa hiyo Mwalimu kaamua kutumia taaluma ya kujiongeza na kusahau taluma yake ya halisia.
Back
Top Bottom