Recent content by Mr Kactus

  1. Mr Kactus

    Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

    Nilikujibu kwa vile umesema ukiachana na New York, Ja Rule hana ngoma zinazoweza fika hata level ya wanksta ya 50 Cents. Kwa kifupi umemchukulia poa sana Ja Rule na ndio maana nimekuwekea list ya ngoma ambazo ziko beyond hiyo wanksta kwenye platforms. Soma tena utanielewa. Naona umenijibu bila...
  2. Mr Kactus

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Hahahaaa badoo nilikuta mke wa rafiki yangu wa primary kaweka mapicha kibao. Kwenye status "looking for a date". Nimechoka. Mpaka sasa mwamba sijamuambia nahisi akijua atazimia.
  3. Mr Kactus

    Hii ni laana au kuna mkono wa mtu

    We jamaa kama bando limekata sema tukuunge! Kwann unaleta story nusu nusu kama goli la nyeto, unatupandisha stimu lkn hamu haikati [emoji35][emoji35][emoji35]
  4. Mr Kactus

    Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

    Nimemsikitikia sana huyu mwamba aisee. Halafu ni mbishi
  5. Mr Kactus

    Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

    Blaza blaza blaza nimekuita mara tatu naamini unafatilia hizi old skul hip hop ila hapa sio kwa ushabiki wa kizamani, tuongelee uhalisia. Inaonyesha una chuki na mnyama Ja Rule tu au mahaba yako kwa 50 Cents yamekufanya u-underestimate how legendary Ja Rule is to the Hip Hop Game. Hatukatai 50...
  6. Mr Kactus

    Ni msanii gani ulizikubali nyimbo zake sana wa US!

    Mmenikumbusha mbali sana
  7. Mr Kactus

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Nadhani mods hua hawapendi nyuzi zinazoelezea foul play za wanawake ktk mahusiano.
  8. Mr Kactus

    Nimebaini mke wangu amezaa nje ya ndoa na amekiri, naombeni ushauri

    Uzi kama huu mods wataufuta. Rejea ule uzi uliokua unatiririsha audio za yule mke wa mtu aliyekua anamegwa na mtumishi wa halmashauri ya sumbawanga iliyopelekea mume kumuua na yeye mwenyewe kujinyonga. Uzi wa Lucy na Jerome. Umesepa [emoji3]
  9. Mr Kactus

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Ana p*** mbovu sijawahi kuona. Amezingua aliyemrekodi, inaonekana manzi alikua yuko vyombo hajielewi
  10. Mr Kactus

    Serikali yawataka Madereva kununua mafuta kwenye vituo vinavyouza Bei rahisi ili kushamirisha Ushindani. Soma bei kwenye Bango vituoni!

    "Acha tuifungue nchi. Safari hii mpaka sukuma gang wote mkazikwe chattle" alisikika mlamba asali wa kigoma
  11. Mr Kactus

    Endeleeni kupandisha bei za mafuta ili akili zitukae sawa

    "Acha tuifungue nchi. Safari hii mpaka sukuma gang wote mkazikwe chattle" alisikika mlamba asali wa kigoma
  12. Mr Kactus

    Trafiki ni mradi wa mapato Serikalini na wakubwa fulani

    Hahahaaa hao niliwashuhudia live pale mbagala rangi tatu aisee
Back
Top Bottom