Recent content by Mr Job

  1. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    Sijakuelewa
  2. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    NIPO FREE LEO, KWA CV NICHEKI
  3. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    NiPO FREE LEO, KWA CV NICHEKI
  4. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    NIPO FREE LEO, LETENI CV ZA KUANDIKA
  5. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    WALE WA CV NIPO FREE HII WEEKEND, NICHEKI NIKUANDIKIE NAMBA 0716321462.
  6. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    Huwezi kupata hio kazi ya kupokea simu bila CV
  7. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    300,000 TZS
  8. Mr Job

    Wenye ujuzi wa kazi za Call center

    Nicheki PM kama upo serious nikukamilishie CV 8000 tu, kesho nopo free.
  9. Mr Job

    Wakazi wa kagera zinakotoka senene nyingi .Je Senene hutokea wapi walikozaliwa kabla ya kutua kagera?

    Tunazungumzia kumbikumbi wa Mvua...DSM vichuguu vipo wapi mbona ukiwa mvua wapo kilakona.
  10. Mr Job

    Wakazi wa kagera zinakotoka senene nyingi .Je Senene hutokea wapi walikozaliwa kabla ya kutua kagera?

    Kwanini swali lako linking na Command la 'wapi huko' ni hawana tofauti na kumbikumbi kwenye mlipuko tofauti ni Timeline. Huo muda nadani hua ni mazaria tu ya mayai yakifikia muda na hard rafiki ndio hiwa serene kamili huruka. Suala la wapi, hapohapo kagera sema tofauti ni wakiwa hatua ya kabla...
  11. Mr Job

    Kijana aliyetoka chuo anakuja mtaani anatakiwa afanye nini?

    Hizi groups unaona zote nimezi achieves tu kwasababu nina kazi nzuri tu sasahivi. Nimeziacha kwasababu sijui ya kesho. unaona hizo posts kuna Mamia ya matangazo humo...ndipo mimi nimepatia kazi sana hadi nayofanya sasa. Mchawi ni CV nzuri kufuatilia, kujiandaa muda wote.
  12. Mr Job

    Kijana aliyetoka chuo anakuja mtaani anatakiwa afanye nini?

    Najua nini naongea, kitu nilicho experience mwenyewe nilimaliza chuo miaka minne nimekaa mtaani sina mchongo wa maana kwenye ajira sipo biashara sipo. Niliamua kuwa serious mwaka jana mwezi wa nane nilitengeneza CV nzuri na kujiunga groups nyingi. Siku yangu ilikuwa ni kufanya udalali naphtali...
  13. Mr Job

    Kijana aliyetoka chuo anakuja mtaani anatakiwa afanye nini?

    Si kweli Mimi ningekuwa ndio naingia mtaani Leo kutoka chuo ndani ya mwezi tu ningeweza kupata kazi, nilichelwa sana kujua na kuwa serious Leo ningekuwa mbali. Mwanachuo yeyote anaingia mtaani leo achieve ushauri huu 1/ Tengeneza CV nzuri yenye Working Experiences safi na Skillsets ulizopata...
  14. Mr Job

    Kijana shituka, mpira wa miguu ni biashara ya watu

    Tatizo lako ni kutokujua kutenganisha kati ya MAKING na SPENDING. Tunatafuta pesa (Making) hili tutumie kwa yale tunayoyapenda (Spending) kwenye context ya mada hawo wanaopata pesa wanafanya Making ila sisi tunafanya SPENDING baada ya kufanya Making sehemu nyengine pia na hao wanaoingizaa pesa...
Back
Top Bottom