Recent content by Mr independent

  1. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuchoshwa na mateso ya Askari wa Maliasili, wananchi waamua kuchoma pori

    Hao waliopelekwa kwenye hilo pori ni askari wa aina Gani? Ni hawahwa askari wanaolinda usalama wa raia? Kitendo cha kubaka na kuvamia mali za watu pamoja na kuuwa binadamu hicho ni kitendo cha Askari? kama ni ndiyo, basi wananchi kitendo cha kuchoma hilo pori mi naona wamefanya adhabu ndogo...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa serikali mliwezaje kutoboa, mbona mimi naenda kushindwa

    01. Hakuna pesa nyingi siku zote. 02. Kwa hiyo bajeti uliyonayo hata ukianza kupokea zaidi ya milion 2 bado hela haitatosha kwani naamini utaiongeza tena. 03. Kaa na mke wako tena muambizane kwa pamoja kuwa ninyi ni masikini na msijizime data. 04. Hiyo bajeti yenu mmeipanga kutokana na mkumbo...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Afya: Wasafiri watapimwa covid19 kwa dola 100

    Hiki kitu bado kipo tuu
Back
Top Bottom