Recent content by mr gentleman

  1. mr gentleman

    Hatimaye Mke wa Sugu afunguka kuhusu kufuta picha ya Sasha baada ya povu la Faiza

    FB wapo sahihi kama wamesema hivyo huyu dada ni nyoka sana...sema amekuta Faiza anachukuliwa mwendawazimu
  2. mr gentleman

    Kwanini gazeti la Tanzania Daima halitoi ripoti kuhusu Loliondo?

    Gazeti la propaganda za chama tawala.
  3. mr gentleman

    Kwanini gazeti la Tanzania Daima halitoi ripoti kuhusu Loliondo?

    Kwa hiyo siku hizi ndio limekuwa kama Uhuru na mzalendo, halitoi habari za wanaoonewa?
  4. mr gentleman

    Kwanini gazeti la Tanzania Daima halitoi ripoti kuhusu Loliondo?

    Mbowe ni tapeli sana ila uzuri ana bahati ya kuwa na wafuasi wanaomwelewa kwa lolote.
  5. mr gentleman

    Kwanini gazeti la Tanzania Daima halitoi ripoti kuhusu Loliondo?

    Kwa hiyo unataka kusema Tanzania Daima limekuwa kama tanzanite la musiba?
  6. mr gentleman

    Kwanini gazeti la Tanzania Daima halitoi ripoti kuhusu Loliondo?

    Punguza mahaba kwa Mbowe utaiona logic ya nilichoandika.
  7. mr gentleman

    Kwanini gazeti la Tanzania Daima halitoi ripoti kuhusu Loliondo?

    Kumekuwa na malalamiko mengi ya wapinzani wakishutumu vyombo vya habari kwa kukwepa kutoa habari za Loliondo haswa zinazohusu upande wa Wamasai. Lakini cha ajabu zaidi ni gazeti la Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe limekuwa kama Uhuru au mzalendo nao wamejitia upofu kama hawaoni...
  8. mr gentleman

    Rayvanny aweka rekodi ya kuwa wa kwanza East Africa kufikisha streams milioni 100 Boomplay

    Kama hauifahamu boomplay mpaka leo utakuwa sio mtu wa burudani mkuu
  9. mr gentleman

    Unsung Heroes: Mashujaa wasiopewa heshima yao hapa Tanzania

    Jamaa uwa namskia, yupo vizuri.
  10. mr gentleman

    Unsung Heroes: Mashujaa wasiopewa heshima yao hapa Tanzania

    Upo sahihi mkuu, lakini P Funk ametengeneza identity ya bongofleva. Hii formula ya muziki inayotumika nowadays aliitrngeneza Majani.
  11. mr gentleman

    Unsung Heroes: Mashujaa wasiopewa heshima yao hapa Tanzania

    Tanzania kuna watu wengi kwenye nyanja mbalimbali ambao wamefanya makubwa kwenye nchi lakini hawatajwi wala kupewa heshima wanayostahili. Sasa mimi nitawataja wachache na yoyote anaemjua mtu aliyefanya jambo kubwa aongezee. P Funk Majani Huyu ndio baba wa bongofleva. Formula tunayotumia sasa...
  12. mr gentleman

    Rayvanny aweka rekodi ya kuwa wa kwanza East Africa kufikisha streams milioni 100 Boomplay

    Hapo kuna mtu kamzidi mwenzie likes ila kuuza bado sana pamoja na kutumia jina la kajala Ila bado anakimbizwa. Nb: Hizo ni projects zao za mwisho, mmoja Ep ya nyimbo 9 mwingine ana album yenye nyimbo 20 zingine za kumtukana chui na simba.
  13. mr gentleman

    Rayvanny aweka rekodi ya kuwa wa kwanza East Africa kufikisha streams milioni 100 Boomplay

    Mtu aliyesahaulika anawezaje kupata stream mil 100? Ebu taja uyo anaekumbukwa kila siku uweke na streams zake.
Back
Top Bottom