Nimepatwa na vipere(sundosundo) katika sehemu za siri kwenye ringi ya uume.Ni miaka 4 sasa nimetumia baadhi ya dawa za kuchua sioni mafanikio ya vipere hivyo kutoweka.Nifanye je?
Msanii gani bongo fleva aliyeimba wimbo wake katika kiitikio chake kinasema;'Wanawake wa vijini ni bora walio mjini,Sikutaka kuoa tena nikiwa sina pesa'.
Nahitaji tiba na ushauri kuhusu hili.Kuna vipele(sundosundo) vimetokea sehem za siri kwenye ringi ya ume wala haviwashi ni miaka 5 sasa.
Nimetumia baadhi ya dawa sioni mafanikio yoyote zikiwemo za magonjwa ya zinaa.
Nimekuwa katika mahusiano na binti mmoja.Tumekaa nae kama miaka 4 bila kufanya nae tendo la ndoa kipindi hicho bado tunasoma.Baadhi ya marafiki wanasema kuwa ana HIV.Lakini naogopa kumwambia wasemavyo.Na yeye bado ananipenda.Nami nilishahamisha mawazo kwake.Nifanye je?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.