Recent content by Mr General

  1. M

    Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Siha na Diwani wa Kata ya Garagua, ametangaza kujiuzulu

    Poleni wana Chadema.Hii nayo itapita tu!!?????
  2. M

    TANZIA John Nyerere afariki dunia

    R.i.p john
  3. M

    Yupi Kati ya hawa ungependa awe rais wa Tanzania 2015?

    Kama watanzania tungekuwa na mawazo kama yangu.Delete CCM
  4. M

    Naombeni Ushauri Wenu Wapendwa

    homa ya kawaida tu lakini sio mara mara
  5. M

    Calling for Oustanding Young Leaders

    Hakuna dalili yoyote ile inayotokea tangu vipere hivyo vitokee.
  6. M

    Naombeni Ushauri Wenu Wapendwa

    Nimepatwa na vipere(sundosundo) katika sehemu za siri kwenye ringi ya uume.Ni miaka 4 sasa nimetumia baadhi ya dawa za kuchua sioni mafanikio ya vipere hivyo kutoweka.Nifanye je?
  7. M

    Nikumbusheni jamani.

    Msanii gani bongo fleva aliyeimba wimbo wake katika kiitikio chake kinasema;'Wanawake wa vijini ni bora walio mjini,Sikutaka kuoa tena nikiwa sina pesa'.
  8. M

    Tukumbushane Nyimbo za Bongo Flava Zilizotamba enzi za 2000-2008

    Na JOHN MGEMA aka Bomba la mvua WACHUMBA 30 Iikuwa full shangwe
  9. M

    Ugonjwa sehemu za siri

    Nahitaji tiba na ushauri kuhusu hili.Kuna vipele(sundosundo) vimetokea sehem za siri kwenye ringi ya ume wala haviwashi ni miaka 5 sasa. Nimetumia baadhi ya dawa sioni mafanikio yoyote zikiwemo za magonjwa ya zinaa.
  10. M

    Naombeni ushauri

    Nimekuwa katika mahusiano na binti mmoja.Tumekaa nae kama miaka 4 bila kufanya nae tendo la ndoa kipindi hicho bado tunasoma.Baadhi ya marafiki wanasema kuwa ana HIV.Lakini naogopa kumwambia wasemavyo.Na yeye bado ananipenda.Nami nilishahamisha mawazo kwake.Nifanye je?
  11. M

    Natafuta marafiki.

    Mimi ni kijana mwenye umri wa 21 natafuta marafiki.
Back
Top Bottom