Shetani ameshawai kukutusi au ameshawai kumtukana Yesu wenu?, kimsingi kupitia maneno yako umenifanya nizidishe mapenz kwa shetani.afu hata huyo Mungu wako wa Biblia anampenda sana Shetani ndio wanafanya naye michongo hata ya kumjaribu Ayubu.
Sasa nyie mmeambiwa muachane na ya dunia mpende ya mbingu,afu unakuja hapa kuongelea vitu vizito kama hiv..christians know nothing about the universe.so ni bora ukae kimya.
Visca El Club Du Barca,yaan tutawapiga sana mbuzi weupe nyie🤣🤣 kushoto Rashford,kati Lewa,mababu ya kushoto Lamine,number mtoto Rapha,uwiii chapa mkono tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.