Recent content by Mr dollar

  1. Mr dollar

    Power is not given, power is taken

    Anajaribu kuwa dikteta
  2. Mr dollar

    Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya

    Itachukua mda sana watu kukuelewa
  3. Mr dollar

    Mabadiliko yamefungwa kwenye ubaya

    Chawa watakupinga
  4. Mr dollar

    Nikiwa Rais wa Tanzania ntaifanya miji yetu kuwa mizuri na inayopendeza macho

    Tanzania tuna-allergy na mambo mazuri na hatuyataki
  5. Mr dollar

    Sakata la uchaguzi mkuu TFF, Naibu Waziri MwanaFA amkingia kifua Karia, waziri Kabudi aingilia kati

    Uwezo wa mwana FA ni mdogo sana na hii ni moja ya legacy ya magufuli msimu uliopita yeye na karia walikusudia kuharibu ligi maksudi ili tu simba achukue kombe baada ya kugundua hana quality ya kushindana na Simba uwanjani na kama wangefanikiwa ingekuwa a new normal Hii kubebwa bebwa ndo...
  6. Mr dollar

    Ni muhimu kujenga Arena ambayo mashindano ya VITASA yatakuwa yanafanyika na sio kufanyika vichochoroni kama ilivyo sasa

    Tanzania tukipata viongozi wanaojitambua tutafika mbali fursa zipo ni basi tu viongozi wanapigania familia zao
  7. Mr dollar

    Artificial satellite zitakuwa zinatengenezewa hapa Tanzania

    Elimu ya Tanzania imekuwa ya kukomoana sana
  8. Mr dollar

    Artificial satellite zitakuwa zinatengenezewa hapa Tanzania

    Udsm PhD unaweza soma miaka 10 na usimalize
  9. Mr dollar

    Viongozi wa Simba kwa maksudi walianza kuuza tiketi ilihali uwanja ulikuwa umefungiwa na hawajapewa go ahead

    Hili ingekua Yanga TFF ingesambaza jana ileile kwa wachambuzi wao wa mchongo ila bahati shetan i wa wote leo kapiga kambi kwa mtoto wao. Jemedari said angekuwa ameshaandika nyaraka za kuilaani yanga
Back
Top Bottom