Recent content by Mr dark light

  1. Mr dark light

    Makombora kwa Forever Living Products (FLP)

    Ufanye biashara nao au uwe mtumwa wao Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Mr dark light

    Je, naweza kumuweka mtoto wangu wa miezi mitatu kama mwanahisa kwenye kampuni yangu?

    Unaona kama hajakuambia kitu cha msingi sana, unachukulia rahisi sana kugawana share za kampuni na kumpata mmiliki mpya wa kampuni, hufikirii kugawana mpaka samani za ofisi, Bro mtoto haruhusiwi kuwa shareholder wa kampuni nafikiri kuanzia 18+ Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mr dark light

    Kweli nimekuja kuona why wanaume wanatudharau

    Umefanywa nn? Kama uliye nae anakuchezea njoo kwangu ucheze mwenyewe Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Watu wa dar tunapenda vitu vya mkoani hasa kuagiza, utaagizwa tu ukija[emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Siku ukija kwa makonda jaribu kubeba alafu utaleta mrejesho Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Ukweli ni upi? Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mr dark light

    Kama wajijua your a gentlemen comment hapa

    Karibu tena Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mr dark light

    Kama wajijua your a gentlemen comment hapa

    Kukudekeza na kukuonyesha kuwa nakupenda siyo kigezo cha kuwa mwaminifu kwako, uaminifu ni kuonyesha heshima hata kipindi ambacho uko mbali na upeo wa macho yangu, gent ni tabia siyo show off Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Ahsante: nawasilisha Ila Kama umeelewa mistari yote hiyo umeshindwa kuvunga huo mmoja tu, mbona tunaongea na wazungu tunapiga broken na hawaturekebishi wanaelewa frexh na maisha yanasonga, sisi tunafeli wapi?? Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    [emoji3] [emoji3] mifugo yetu mingine tunasaidiwa na wenzetu kuipata, wakati sisi ndio tunaifuga Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Mkuu unaonekana una uzoefu na mabao ww[emoji3] [emoji3] [emoji3] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Mkuu nyama ya ng'ombe inapaa mda c mrefu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Sawa Ila kama hadi kuvua samaki bado tunavuliwa na watu wengine ili kukidhi mahitaji ya nyumbani, haiwezi kuwa haraka kwa mtz kutatua hili, mtz labda tunaweza kufuga samaki ambao inachukua mwaka mzima ili kuvuna Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Mr dark light

    Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

    Kila ki2 kinawezekana mkuu tulivyovikuta duniani unaweza kumiliki chochote Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom