Inaelezwa kuwa upatikanaji wa samaki kwa sasa nchini umekuwa mgumu mno

Mr dark light

JF-Expert Member
Jul 3, 2018
298
253
Habarini wakuu

Inaelezwa kuwa Serikali imeongeza kodi ya kuingiza samaki nchini, samaki wengi ambao tunakula wanatoka china (nilikuwa sijui hili)

Chanzo kinasema Tanzania hatuna uwezo wa kuvua samaki wakakidhi mahitaji ya walaji, hivyo samaki wengi wanatolewa china na kuletwa nchini, hivyo baada serikali kuongeza kodi, samaki wamekuwa ghali sana, mpaka baadhi ya wafanya biashara wadogo wameacha hiyo biashara

Inadaiwa tuna meli moja tu ya uvuvi (sina hakika na hili) pia hatuna vifaa vya kuvulia samaki kwenye kina kirefu, nikaendelea kuambiwa kuwa samaki wengi kwa sasa wanashushwa Zanzibar maana kule sheria yao ya kodi ni rahisi kuliko huku bara

Nb: Mliokuwa huko juu kama ni kweli mwambieni kwa style hiyo anakosa kodi nyingi pia haghairishe kuleta ndege nyingine pesa anunulie meli ya uvuvi bahari ya Hindi, biashara hii ni ya uhakika zaidi kuliko ndege, demand ya samaki kwa wanachi ni kubwa kuliko kusafiri kwa anga

Nawakilisha


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwamba samaki wanatoka China mkuu hapana. Samaki wanavuliwa na meli kubwa za kigeni zenye uwezo wa kwenda hadi deep sea kuwatafuta na baada ya hapo wanachagua soko la kupeleka samaki hao kuwauza, sasa baada ya leseni kuisha wanasajili upya kwa tozo kubwa zaidi ya ile ya awali bila kujali uhalisia wa kipato kwa wavuvi ndio mana wamegoma kuleta samaki hapa.
 
Sio kwamba samaki wanatoka China mkuu hapana. Samaki wanavuliwa na meli kubwa za kigeni zenye uwezo wa kwenda hadi deep sea kuwatafuta na baada ya hapo wanachagua soko la kupeleka samaki hao kuwauza, sasa baada ya leseni kuisha wanasajili upya kwa tozo kubwa zaidi ya ile ya awali bila kujali uhalisia wa kipato kwa wavuvi ndio mana wamegoma kuleta samaki hapa.
Aahaa sawa mkuu lakini wananchi tunaamini kuwa wanatoka china maana wenye samaki ndio wanaamua waandike samaki hawa wanatoka wapi, by the way tunahitaji kuwekeza kwenye meli za uvuvi kuliko ile ya matengenezo b 13

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aahaa sawa mkuu lakini wananchi tunaamini kuwa wanatoka china maana wenye samaki ndio wanaamua waandike samaki hawa wanatoka wapi, by the way tunahitaji kuwekeza kwenye meli za uvuvi kuliko ile ya matengenezo b 13

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni ndoto yangu inayonifanya nihangaike hovyo kama mwehu kusaka pesa na wadau ili niitimize ndani ya miaka 10 ijayo.
 
Binafsi hamna suala ambalo lilikuwa linaniumiza kama sisi kula samaki ambao ni imported hilo naipa big yes serikali.
Kikubwa sisi watanzania tutumie fursa hiyo tena kufuga samaki kwa wingi.


Tena rais inatakiwa ashaurie na kule ambako tunaletewa Mayai kutoka nchi jiran wakat watanzania wanakosa masoko kwa kuyauza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli
Lakini tatizo hatuna mipango mathubuti unapoamua kupandisha kodi angalia final consumer anapata madhala gani, serikali ingejipanga kwanza yenyewe iwe na uwezo wa supply kama demand inavyotaka ndipo ingepandisha kodi, inaonyesha kwamba samaki wanaouzwa na hayo jamaa walikuw wanauza bei rahis kuliko huyu mvuvi wa nyumbani (mzawa)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli
Lakini tatizo hatuna mipango mathubuti unapoamua kupandisha kodi angalia final consumer anapata madhala gani, serikali ingejipanga kwanza yenyewe iwe na uwezo wa supply kama demand inavyotaka ndipo ingepandisha kodi, inaonyesha kwamba samaki wanaouzwa na hayo jamaa walikuw wanauza bei rahis kuliko huyu mvuvi wa nyumbani (mzawa)

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kwel inaweza ikawa imefanywa kwa haraka lakin wana maana yao sio kwamba wamekurupuka tu mana mtanzania ni mfuata mkumbo kwa hiyo hapo tulipofikia akiambiwa samak asaiv dili bwawa kidogo tu unatengeneza pesa utaona hao samak mtaani...ko malengo yanakuwa tayar yametimia kwa tukio la kukurupuka kama hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwel inaweza ikawa imefanywa kwa haraka lakin wana maana yao sio kwamba wamekurupuka tu mana mtanzania ni mfuata mkumbo kwa hiyo hapo tulipofikia akiambiwa samak asaiv dili bwawa kidogo tu unatengeneza pesa utaona hao samak mtaani...ko malengo yanakuwa tayar yametimia kwa tukio la kukurupuka kama hili

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa
Ila kama hadi kuvua samaki bado tunavuliwa na watu wengine ili kukidhi mahitaji ya nyumbani, haiwezi kuwa haraka kwa mtz kutatua hili, mtz labda tunaweza kufuga samaki ambao inachukua mwaka mzima ili kuvuna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kwel inaweza ikawa imefanywa kwa haraka lakin wana maana yao sio kwamba wamekurupuka tu mana mtanzania ni mfuata mkumbo kwa hiyo hapo tulipofikia akiambiwa samak asaiv dili bwawa kidogo tu unatengeneza pesa utaona hao samak mtaani...ko malengo yanakuwa tayar yametimia kwa tukio la kukurupuka kama hili

Sent using Jamii Forums mobile app


yaan ww kaka huwa unanichefua na koment zako za kimakamasi kamasi..umeelezwa kitaalam kbs na wenye akili bado tu unajifukia kwenye majivu ya ccm..mbaafu
 
Back
Top Bottom