Nilikuwa kimya sana, nilipata msiba, nkafiwa na mamaangu, ikabidi nirudi nyumbani. Ila next week kuanzia juma5 nitarudi rasmi. Maana kama ni survey nilishafanya ya kutosha na maamzi nilishachukua.
Mbaya zaidi kesi zote yeye ndie kafubgua, matokeo yake zmemgeukia. DC mzma hajui kuwa siku hz mwanamke anasikilizwa sana.
Badala ya kusubili wao ndio wafungue kesi, yy tena anaenda kuwafungulia kesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.