Recent content by Mr Dadu

  1. M

    Kiongozi wa ‘kina flani’ yamkuta ya kumkuta!

    Tumia akili acha upoyoyo
  2. M

    Mimi nipo Iringa, nahitaji kwenda Kakola kutafuta maisha, sipajui na sijawahi kufika

    Nilipata shida ndugu, ya dunia ni mengi, kesho naanza safari ya kurudi no 9.
  3. M

    Mtambo Mpya wa Ufuatiliaji Mawasiliano nchini (TTMS): Kwanini sasa? Nini kipya?

    Tutajie na jina la alievunjika miguu. Kumbe wewe c wa mchezo mchezo
  4. M

    Mimi nipo Iringa, nahitaji kwenda Kakola kutafuta maisha, sipajui na sijawahi kufika

    Nilikuwa kimya sana, nilipata msiba, nkafiwa na mamaangu, ikabidi nirudi nyumbani. Ila next week kuanzia juma5 nitarudi rasmi. Maana kama ni survey nilishafanya ya kutosha na maamzi nilishachukua.
  5. M

    Mke agomea talaka ya DC. Adai hajawahi kutoa matunzo kwa mtoto kwa miaka18

    Odunga yeye ni msabato, na wasabato ni mke mmoja na c wake wawili ama zaidi
  6. M

    Mke agomea talaka ya DC. Adai hajawahi kutoa matunzo kwa mtoto kwa miaka18

    Sijui nani alimshauli huyu DC akafungue kesi
  7. M

    Mke agomea talaka ya DC. Adai hajawahi kutoa matunzo kwa mtoto kwa miaka18

    Mbaya zaidi kesi zote yeye ndie kafubgua, matokeo yake zmemgeukia. DC mzma hajui kuwa siku hz mwanamke anasikilizwa sana. Badala ya kusubili wao ndio wafungue kesi, yy tena anaenda kuwafungulia kesi
  8. M

    Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

    Inaumiza sana sana, wajuvi wa mambo mtutabainishie, kukundi cha kihalifu alichokuwa akiongoza ni kipi? Na kilihusika na uhalifu upi?
  9. M

    Zitto: We are happy that you are strong Eric

    Nadhan hvo ndio viwanda vya awamu hii. Very sad.
Back
Top Bottom