Recent content by Mr Chawa

  1. Mr Chawa

    Tundu Lissu: Government of Tanzania should come clean on deterioration in relations with EU

    Nan kapeleka maendeleo mtaje na useme mrad gan kapeleka zaid tu maamuz ya rais kipind akiwaziaran
  2. Mr Chawa

    Tundu Lissu: Government of Tanzania should come clean on deterioration in relations with EU

    Syo kusaidia Sema amewasilisha hoja na kero ngap za wana Nchi Wa Jimbo lake. Si kusaidia ndo majkm yake.. Na kama kapeleka kero za wana Nchi ila pesa ya budget haijaenda ulitaka atoe yake mfukon
  3. Mr Chawa

    Tundu Lissu: Government of Tanzania should come clean on deterioration in relations with EU

    Na Hakuna muwekezaji asyetaka faida na kurdsha gharama zake
  4. Mr Chawa

    UDSM loan allocation

    OK Kwan ww Jina limetoka Awamu ya kwanza au
  5. Mr Chawa

    UDSM loan allocation

    We upo college gan?
  6. Mr Chawa

    UDSM loan allocation

    Kwan wanaangalia had ulpotoka Duuh sasa Mkuu na rufaa Bado then chuo kshafnguliwa Duuh. Yaan jina limetoka mzaz/mlez ashajua Kuwa Tayar ..ushapata Leo unamwambia jina halipo kwel?
  7. Mr Chawa

    Special Thread: Kwa waombaji wote wa mikopo kupitia HESLB 2018/2019

    Walsema tar 3rd November na kuendelea Kuna mwenye updates
  8. Mr Chawa

    UDSM loan allocation

    Udsm yametoka ila cha ajab Majina meng hayapo may be kuna vigezo vya urefu na ufup vimeongezwa au residence 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  9. Mr Chawa

    Tundu Lissu: Government of Tanzania should come clean on deterioration in relations with EU

    Jaman Nchi hii S wapo tuliowasomesha tena kwa pesa ya walipa kodi mambo ya international relationship kwann hawazungumzii Haya mambo au field zao zpo wapi na wana aply wap
  10. Mr Chawa

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Sio kulalamika... Hakuna kitu muhim kwa mtt Wa maskn kulko Elim.. Au Unataka kila sku yeye awe mkoroga zege.. Na asiweze kupewa tenda.. Unataka yy asiweze teuliwa hata Kuwa afisa mtendaji.au Ndio mnataka wenu wasome ili waje kukaa sehem nzuri. Ila wetu wawe vibarua na wabeba mizigo.. Suala la...
  11. Mr Chawa

    Bodi ya mikopo ni shida tu

    Raisi anafanya kazi yake tena vyema kabsa bas tu binadamu mtenda jema lazma awepo tu middle man wakuliharibu.
  12. Mr Chawa

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Sasa uongoz Wa wilaya wao watafanyaje sasa Mkuu .wanipe barua au inakuaje
  13. Mr Chawa

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Yaan Mkuu mtu kaambatanisha vyeti vyote vi wili vya vifo tena vilivyo Kuwa certified na RITA.. Lakn Bado wamesema No vigezo. Kisa kamalza 2016. Form six
  14. Mr Chawa

    Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Sa je usajili atafanya kwel... Maana Bila kulpa No usajili..
Back
Top Bottom