ANGELOBUSE
Member
- Aug 28, 2017
- 32
- 7
Jamani kuna mtu ashajua loan breakdown na % kwa waliochaguliwa udsm
Eti kuna mtu kaniambia kuwa kwa waliochaguliwa UDSM wote hawajapata mkopo hadi third batch,wakati mimi jina langu nimeliona kwenye first batch
okjiulize ni kwanini kwenye acc. yako bado pako kimya ila majina yanatumwa chuoni???
hii ni danganyatoto
omba mungu jina lako ulikute chuoni wanafunzi wengi ni kilio.
jiulize ni kwanini kwenye acc. yako bado pako kimya ila majina yanatumwa chuoni???
hii ni danganyatoto
omba mungu jina lako ulikute chuoni wanafunzi wengi ni kilio.