Yani hapo hiv sasa ivi unakuja nayo nyumbani kwani hakuna pa kumshtakia kama unamkuta na ushaidi ? Hilo siyo jawabu cha msingi kaa na mumeo mjemhe maisha atabadilika tuuu
Ni kodi zenu sawa ndo mvunje sheria??kwa vile ni kodi zenu shuleni si mlikuwa mnapeleka rimu kwa ajili ya matumizi ya mitihani kuna siku ulipewa alama 100%kuwa mwalimu amekupa baada ya kuwa mpeleka rimu bora???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.