Huenda! Ila hatukupaswa kuwa huku kwa kodi,wenye Bandari sio wanufaika kabisa yani basi waweke hata mdaharo unaohusu mambo ya kodi walau ikusanye mawazo
Habarini
Kiufupi kodi sio rafiki kwa Mtanzania leo ukitaga kuagiza ka gari used mfano ist ni mil 16,wakati ilikua mil 10 sawa rates imepanda na mafuta yamepanda je mlichukua hatua gani ku balance isifike kiasi hicho?
Import duty %25
Excise duty for aged vehicles %30
Vat %18
Railway...
Habarini wadau!
Hivi kuna haja gani kuendelea kuchaji pesa nyingi kwa ajili ya kuweka jina kwa (plates namba) now ni milioni 5 kwa muda wa miaka mi3
Kama muitikio mdogo punguzeni gharama ili Serikali yetu ipate mapato zaidi ukifikiria sana Serikali yetu kuhusu kodi kama haina shida nayo na...
Habari wana jamvi!
Moja kwa moja kwenye hoja ni hivi nna wazo kama inawezekana ikapitishwa shaur bungeni kuhusu mabasi binafsi ya Wanafunzi na yaingie kwa msamaha wa kodi kwa kuwa nauli ya Mwanafunzi ni ndogo kama inawezekana au mwenye uelewa zaidi aiweke sawa
Matajiri tunao na wanauwezo wa...
Habari wana jamvi!
Moja kwa moja kwenye hoja ni hivi nna wazo kama inawezekana ikapitishwa shauri bungeni kuhusu mabasi binafsi ya Wanafunzi na yaingie kwa msamaha wa kodi kwa kuwa nauli ya Mwanafunzi ni ndogo kama inawezekana au mwenye uelewa zaidi aiweke sawa
Matajiri tunao na wana uwezo wa...
Kwa taarifa yako hayo mapato yaliongezeka kwa kudai madeni kwa madeni ya kampuni
Walizifungia Kampuni za Clearing kwa kuzilazimisha zilipe madeni kwani kunasemekana kulikua na kampuni hazikua zinalipa HANDLING NA WHARFAGE na hyo ilitokana na baadhi ya waajiriwa wa TPA kutokuwa waaminif ila sio...
Usipende story za kuambiwa! TPA NA TICTS kwenye utendaji mzur ni TICTS wana vifaa vya kisasa,ishu ya ukaguzi TPA ni janga kuwekewa container chini upambane sana,unaambiwa mashine ipo inashusha mzigo wa meli!
TPA kupata invoice kwa ajili ya malipo ni ishu mpaka ukaonge pesa imelalamikwa mpaka...
[emoji3][emoji3][emoji3]na mm naongezea hatuna sababu za kupambana wala uwezo wa kushindana nao hatuna sasa ya niniii!!!
Magari tunayotumia,vifaa kwa ajili ya kujilinda vya technology ya leo pia kwao
Sometimes ukiwa mpinzan sana unapoteza maana na unapoteza wafuasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.