Tunahitaji m2 aliye imara na mwenye uwezo wa kututetea sisi walalahoi na kuwafilisi mafisadi sio kujijengea umaharufu.viongoz CDM ondoeni tofauti jenga chama ikulu hii hapa.
Hayo ni mambo ya kawaida kabisa kwa serikali isiyo makini na kutaka kujisifia majukwaani.tumejenga shule nyingi wanafunzi wengi na mengine mengi.tunawalea hao tuwaweke pembeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.