Binafsi naona uwezo tulipewa sawa tatizo linakuja kwenye kutumia uwezo tuliopewa kdg ngozi nyeusi tulibaki nyuma na weupe wakatumia mwanya huohuo kutusupress mpk ss hvi, ila mungu ktk uumbaji hakupendelea ni mazingira
sio kweli kwamba hujui ni mungu yupi anakubariki, mshkuru sana kwa kukupa ata kile ambacho hukukiomba, mungu ni wa ajabu sana hubariki bila kujali, ila usijudge imani ya mtu mwingine itetee nafsi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.