Recent content by Mr bizy man

  1. M

    Ukweli kuhusu mtu mweusi wazungu hawataki dunia ijue

    Binafsi naona uwezo tulipewa sawa tatizo linakuja kwenye kutumia uwezo tuliopewa kdg ngozi nyeusi tulibaki nyuma na weupe wakatumia mwanya huohuo kutusupress mpk ss hvi, ila mungu ktk uumbaji hakupendelea ni mazingira
  2. M

    Siendi Kanisani, Msikitini wala popote kusali! Mungu yupi ananibariki?

    sio kweli kwamba hujui ni mungu yupi anakubariki, mshkuru sana kwa kukupa ata kile ambacho hukukiomba, mungu ni wa ajabu sana hubariki bila kujali, ila usijudge imani ya mtu mwingine itetee nafsi yako
  3. M

    Baada ya mashambulizi: Tumerejea hewani, Tupo imara zaidi!

    Mungu yupo nasi,niliishiwa nguvu kuona hampo hwani ila finaly maisha yanaenda vzr
  4. M

    Wiki ya mwisho ya kampeni: Magufuli na CCM wanafanya makosa ya kiufundi

    Makosa yakiufundi ni pamoja na kukatakata umeme na tra kutuzungukia sana mitaani, hasira inapanda mbaya kabisa
  5. M

    Huyu si Lowassa ambaye UKAWA tulimtaka

    huna point ww unawataftia fisiem sera,,,hatuendi kwenye mikutano kuangalia wasanii tungeenda club na kwenye show
  6. M

    ITV mtuletee taarifa ya mkutano wa UKAWA Arusha kama mlivyotuahidi

    nawashukuru sanaitv kwakuniongezea hasira, hakika sitofanya makosa pale machinjoni
  7. M

    Vodacom Tanzania; Hii jeuri ya kibiashara mnaitoa wapi?

    wametudharau sana wananchi wa kawaida
  8. M

    Muathirika wa VVU anaweza kufanyiwa operation ya Kansa na kuendelea kuishi vizuri?

    Shukrani, ila ninajaribu kujua ukweli juu ya jambo hilo,
  9. M

    Muathirika wa VVU anaweza kufanyiwa operation ya Kansa na kuendelea kuishi vizuri?

    Naomba kufahamu je mwathirika wa ugonjwa wa UKIMWI anaweza kufanyiwa upasuaji wa kansa kama ya titi na akazidi kusurvive? Msaada please.
  10. M

    Makanisa matatu yachomwa moto Bukoba leo Septemba 22,2015

    hata taarifa ya habari huanza na muhtasari
Back
Top Bottom