Recent content by mr. avatar

  1. M

    Naomba ushauri juu ya kuchukua mkopo

    Mkuu sina haya ya kukuaminisha ila najitambua nikisemacho kama unajua plz naomba unipigie hesabu nijue naweza chukua kias gan
  2. M

    Naomba ushauri juu ya kuchukua mkopo

    Mkuu hapo umenipa moyo kidogo coz nami nataka nkarambe mkopo basic salary yangu ni 1.5M hapo naweza kopa kama sh ngapi kulingana na mahesabu waliokupa kama ntakopa na mkopo uishe baada ya miaka 3?
  3. M

    Naomba ushauri juu ya kuchukua mkopo

    Sasa mkuu kama riba ni 18% afu akichukua 12mil maana yake atarejesha kama milion 14 na points ambapo ukiigawa kwa miez 36 inakuwa kama laki 3 na pesa flan iv,sasa ikiwa makato ni 433230 kwa mwezi huoni pesa itayorudishwa ni nyingi sana ambayo ni zaid ya 18%?
  4. M

    Natafuta lifti ya Dar kwenda Mwanza

    Mkuu angalia lifti izo waweza ambiwa nawe hapa kazi tu maana vijana wamechachamaa kwel
  5. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Wakuu kwa anaejua bei ya TOYOTA Verossa kuagiza japan na gharama zote za hapa nchini kwetu naomba anijuze nianze mchakato fasta
  6. M

    PPF mikopo yao ikoje?

    Wanajamvi naombeni kujuzwa, hivi huu mfuko wa PPF unatoa mikopo kwa mwanachama akishafikisha muda gani au mpaka afikishe kiasi gani kwenye makusanyo yao?
Back
Top Bottom