Recent content by Mr Aboo

  1. Mr Aboo

    Kuna wachambuzi wamemisi Onyango aisee

    Babu Onyango alikua mbuzi wa kafara tu ila yule mtu kazi kweli kweli....
  2. Mr Aboo

    FT | Simba SC 2-1 Ihefu FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Saa 1:00 Usiku| Oktoba 28, 2023

    Changanya na game kama Fifa,Pes basi raia wanaona mpira rahis saana....
  3. Mr Aboo

    FT | Simba SC 2-1 Ihefu FC | Uwanja wa Benjamin Mkapa | Saa 1:00 Usiku| Oktoba 28, 2023

    Mm shabiki la Yanga ila amin mashabiki wengi wa mpira bongo hata cha ndimu hawajacheza...! Hua wanaamin mpira ni rahis saaaaaaaaana sema ikimpendeza Jah mfee tu
  4. Mr Aboo

    Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

    Ndg muhasibu sio mbaya ukiomba poo....
  5. Mr Aboo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    hii mambo acha tu...! Kuna baadhi ya nchi viwanja ni vituko mnoo... unaweza kuhis umechagua bonge la match kumbe ouzo mtupu
  6. Mr Aboo

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    B2ED7BD Ngum Kumeza Punguza chache weka Mzigo... ! Tumezoea vipigo mpaka ushindi tunashangaa [emoji14][emoji1787]
  7. Mr Aboo

    Mliowahi kununua views, subscribers na followers mtandaoni kujeni hapa

    fungua yako tu kama una maudhui mazuri itaenda... Anzia chini kabisa ujue mbivu na mbichi
  8. Mr Aboo

    Je, ushawahi kupitia mkasa wa kupata ajali na gari ya mtu.?

    Ndio kwanza nimepewa tu mkataba kama Dereva wa Bolt/ Uber....! Yakatokea yakutokea na brother akachukua chuma yake [emoji119]
Back
Top Bottom