Kwa kipindi hiki teknolojia ya Faiba hutumika kwaajili ya mawasiliano masafa marefu, ndio teknolojia iliyo bora zaidi. Faiba haiwezi pitishwa angani bara hadi bara, hupitishwa baharini.
Wacha kukurupuka wewe, Internet siyo huduma ya kisisasa, au kama umeme wa Tanesco, wala sio huduma ya Taifa fulani. Internet ni huduma ya kidunia, inayotolewa na ma ISP wakubwa duniani kuiunganisha dunia yote kuwa moja kimawasiliano ya kimtandao kupitia miundomibinu yao inayounganisha mabara...
Yesu kristo alikufa msalabani na siku ya tatu akafufuka, ili ulimwengu uokolewe kupitia yeye. Hakuna mwingne aliyekufa kwaajili ya ulimwengu. Huyu ndiye ufunguo wa uzima wa milele kwa wamwaminio wote, hakuna mwingine ila yeye. Ukimwamini utaokoka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.