Nilipokaa nakutafakari maswali mengi katika mkutadha huu,bado sina jibu kamili juu ya hili kwanini watu wahangaika kutafta mke au mme kwa vigezo eti urembo au uhandsome,kweli ni lazima vizingatiwe lakini tabia ya mtu tunaiweka wapi je mke au mme wa ndoa ni kipi cha msingi kuangalia?
it is wonderful,mostly of tanzanian are dwelling under dollar but also we over take still the life of members country are poor what does it mean?nothing we done compaire to kenya
ndugu hapo umechamsha mke mwema s mwalim bal hutoka kwa bwana jua kila mtu anatabia yake punguza kutafta mke kwenye mitandao utakuja kujuta jua ndoa ndo hatua ya mwisho acha hizo fikra potofu
wadau kulikon serikal inachelewesha ajil je mbona inapoteza uamifu kwa waajiliwa alafu wabunge wanadai waongezewe posho tunaenda wap je baada ya miaka kumi tutakueje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.