Recent content by Mpui Lyazumbi

  1. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Maombi ya Kibatala juu ya Polepole kusikilizwa Oktoba 15

    Chip imo?
  2. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Number 5 kunani?

    Date of Birth (DOB) hayo mengine ongezea. Hatimaye tu-unlock hii code
  3. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

    Umemsikiliza vizuri?
  4. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

    "Kapteni Tesha" alisema atarudi tena. Sijui kwa mazingira ya KIJESHI alikuwa anamaanisha nini!
  5. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Kufungiwa kwa JamiiForums Tanzania: Salaam za shukrani na mwelekeo...

    Pole JF, Pole Maxence Melo - Naamini utavuka salama Salaam kutoka Managua-Nicaragua. 15yrs + 3 za off record!
  6. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania 1995 Oscar Kambona aliporejea kutokea UK akatoa Tangazo kuna Siri kubwa ataitoa na kila mtu atashangaa, tukajazana Jangwani alipofika akasema Amesahau

    Musoma alikuwepo nani? Maana Arusha aliikamata Brother Mako! Arusha Oyeee
  7. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu afika nyumbani kwa Sarungi kuhani Msiba, wakutana na Mzee Kikwete, wasalimiana

    Mwamba unaejibu ni mkongwe Sana jukwaani humu na anabadili anwani zake Sana. Tulioanza nae hawezi kutusumbua ki-viiile. Ni mtoto wa hayati Father, infact alichoandika - anakijua vizuri.
  8. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Orodha ya wachezaji bora Afrika Mashariki wa muda wote

    Kidagaa kimemwozea tafuta wasifu wa Majidi Musisi
  9. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Namaliza degree mwaka, huu nataka kuchukua diploma

    Digrii ni ya fani gani?
  10. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Kwanini TEC wapo kimya kwa Katibu wao wa zamani DK Slaa kunyimwa dhamana kinyume na sheria

    Una taarifa kuwa Kanisa Katoliki ni Mwamba ulioko Baharini/Ziwani. Moja ya maana ni kwamba likipigwa na wimbi,hung'aa zaidi kuliko Kuchafuka?
  11. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Mbowe hakuwahi kusimamisha Wagombea Ubunge Nchi nzima Je Tundu Lisu ataweza October 2025?

    Hii No Reform No Election unaielewaje?
  12. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Stability ya Serikali inategemea mgombea urais achelewe kuteuliwa

    Nipo hapa kusoma comments
  13. Mpui Lyazumbi

    JamiiForums Tanzania Kampeni ya Samia Legal Aid imefika Mpanda mkoani Rukwa

    Mindyou, Mpanda iko Mkoa wa KATAVI iliondoka kwenye Mkoa wa RUKWA enzi za Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa Rais na PM wake akiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda. Kama sikosei RC wa mwisho kuhudumu mipaka ya RUKWA iliyoanzia Kona wa Wageni mpakani na Mbeya(zamani kabla ya Songwe) hadi Mto Koga Mpaka...
Back
Top Bottom