Mwamba unaejibu ni mkongwe Sana jukwaani humu na anabadili anwani zake Sana. Tulioanza nae hawezi kutusumbua ki-viiile. Ni mtoto wa hayati Father, infact alichoandika - anakijua vizuri.
Mindyou, Mpanda iko Mkoa wa KATAVI iliondoka kwenye Mkoa wa RUKWA enzi za Mheshimiwa Jakaya Kikwete akiwa Rais na PM wake akiwa Mizengo Kayanza Peter Pinda. Kama sikosei RC wa mwisho kuhudumu mipaka ya RUKWA iliyoanzia Kona wa Wageni mpakani na Mbeya(zamani kabla ya Songwe) hadi Mto Koga Mpaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.