Ndivyo clip na kwa hakika habari zilivyo mitandaoni. Imefikia hatua Spika anadai baadhi ya viongozi wa serikali (tena wadogo) wanamdanganya rais.
Kwangu mimi naona kuna kutoheshimiana. Hivi hata kama rais amedanganywa unaanzaje kuja hadharani?
Hiki cha kwangu ni full package mkuu, na ushamba wangu ni kwamba niko ziarani kwa sasa. Baadhi ya hotel au guest house wamemdu kulipia kile cha 19,000/-. Usiteseke na ushamba wangu, teseka na kunisaidia hotel nilizouliza. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za siku nyingi humu ndani. Niko safarini kutembelea ndugu, jamaa na marafiki. Nina king'amuzi cha DSTV full package na natembea nacho. Ninachohitaji ni kujua Hotel au Guest house nzuri inayotumia mfumo huu.
Nikifika natoa cha kwao naweka hiki ninachosafiri nacho. Leo nimelala makambako...
Umenisoma vizuri tangu nilipoanza kukuuliza mkuu? Pitia vizuri post zangu. Kwa kweli hali kama ni hii ninayoiona kwako kama Taifa tuna hali mbaya sana. Ujumbe wa Baba Askofu uko wazi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.