Recent content by Mpucha

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana kuonesha tupu zao mitandaoni?

    Hiyo biashara inalipa asikuambie mtu. Hawa wa dada unao waona ma dau yao 500,000 kwenda juu, na wateja wapo wa kutosha
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Just imagine, unatoka Tanzania nchi yenye kila aina ya rasilimali unaenda Thailand kufuata tiba
  3. M

    JamiiForums Tanzania Ndani ya Miaka 4 Tanzania yapindua meza,yateka soko na kuzigeuza nchi zote majirani kuwa gulio la bidhaa zetu

    Naomba mnisaidie, huku mtaani mbona hali ni mbaya bado
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mikoa 10 yenye uchumi mkubwa 2024; Mbeya yashika namba 3

    acha kuishi kwa kukariri, hebu lete takwimu zako kuthibitisha unacho kisema
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video: Wananchi wakiimba 'hakuna muuaji kama Samia, hakuna na hata kuwepo'

    HUWEZI KUNYAMAZISHA WATU KWA MTUTU WA BUNDUKI. UTAUA 10, KESHO WATAIBUKA 50. NDIO KINACHOENDELEA KWA SASA
  6. M

    JamiiForums Tanzania Wamakonde ndio wanaiweza kazi ya kutetea haki yao

    Historia pia inatuambia wamakonde wameshiriki pakubwa kwenye mapinduzi zanzibar
  7. M

    JamiiForums Tanzania Vile vifaru pale Lugalo jeshini vinatisha

    KIfaru ni silaha nzito, uitumue kwa waandamani wale wako mikono mitupu ?
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Upige konyagi,ushushie na karanga za kukaanga kisha upande kwenye kiuno cha mtoto wa watu,unaweza kushtakiwa ICC kwa uhalifu wa kivita

    Ipo siku utafia guest ndugu. Mwanamke huwezi kumkomoa kwa sex
  9. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 PDF la wagombea ubunge kupitia CCM waliopitishwa na wajumbe kwenye kura za maoni

    Nitajie yeyote wa ajabu wewe unae mfahamu
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wakina mama hawakuni tena nazi kwa mkongojo

    Hata kutwanga mahindi imesahaulika
  11. M

    JamiiForums Tanzania Ukosefu wa ajira ni tatizo la dunia lakini hapa kwetu isiwe hivi ilivyo

    Jwtz juzi hapa nadhani june 2025 wametangaza nafasi za kujiandikisha jeshi, kilichotokea.............. inasikitisha sana. Ni kujuana 100%. Tunakoelekea jeshi pia litakua la kiukoo
  12. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mmiliki Kampuni ya TOP Maasai Company Limited, Joram Lukumay amefariki Dunia

    Mwarusha aongee kiarusha, mmasai aongee kimasai, wataelewana ? Naomba ufafanuzi
Back
Top Bottom