Recent content by Mpucha

  1. M

    Kwanini kumekuwa na wimbi kubwa la wasichana kuonesha tupu zao mitandaoni?

    Hiyo biashara inalipa asikuambie mtu. Hawa wa dada unao waona ma dau yao 500,000 kwenda juu, na wateja wapo wa kutosha
  2. M

    Kwa maelezo haya ya Dudu Baya ukiwa na hela bora ukatibiwe India

    Just imagine, unatoka Tanzania nchi yenye kila aina ya rasilimali unaenda Thailand kufuata tiba
  3. M

    Mikoa 10 yenye uchumi mkubwa 2024; Mbeya yashika namba 3

    acha kuishi kwa kukariri, hebu lete takwimu zako kuthibitisha unacho kisema
  4. M

    PostGE2025 Video: Wananchi wakiimba 'hakuna muuaji kama Samia, hakuna na hata kuwepo'

    HUWEZI KUNYAMAZISHA WATU KWA MTUTU WA BUNDUKI. UTAUA 10, KESHO WATAIBUKA 50. NDIO KINACHOENDELEA KWA SASA
  5. M

    Wamakonde ndio wanaiweza kazi ya kutetea haki yao

    Historia pia inatuambia wamakonde wameshiriki pakubwa kwenye mapinduzi zanzibar
  6. M

    Vile vifaru pale Lugalo jeshini vinatisha

    KIfaru ni silaha nzito, uitumue kwa waandamani wale wako mikono mitupu ?
  7. M

    Wakina mama hawakuni tena nazi kwa mkongojo

    Hata kutwanga mahindi imesahaulika
  8. M

    Ukosefu wa ajira ni tatizo la dunia lakini hapa kwetu isiwe hivi ilivyo

    Jwtz juzi hapa nadhani june 2025 wametangaza nafasi za kujiandikisha jeshi, kilichotokea.............. inasikitisha sana. Ni kujuana 100%. Tunakoelekea jeshi pia litakua la kiukoo
  9. M

    TANZIA Mmiliki Kampuni ya TOP Maasai Company Limited, Joram Lukumay amefariki Dunia

    Mwarusha aongee kiarusha, mmasai aongee kimasai, wataelewana ? Naomba ufafanuzi
Back
Top Bottom