Poleni na majukumu wana Jf, ninashida! Wazee wangu wanapata shida kila mara kumuita fundi kijijini kwasababu ya channel kutoka na kurudi kwenye decorder ya mediacom, naombeni msaada wadau ili niwasaidie wazee wangu kijijini.
kk hiyo ni super fake surprize! Kutokuwa hewani kwanza ni beadache kwako maana hautajua kwanini hapatikani either kapata matatizo au vp? Dillema hiyo. Lkn pia kwake yeye alidhamiria kufanya hivyo, lkn kwanini? Alafu ameifanya week end!! Kwa mtazamo na uzoefu wangu ni kwamba, alikwenda club au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.